george tiru
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 200
- 147
Yes, halafu Jerry anataka kugombea ubunge,patamu hapoHivi kumbe ndie aliyefokewa kipindi kile!
Yes, halafu Jerry anataka kugombea ubunge,patamu hapoHivi kumbe ndie aliyefokewa kipindi kile!
Hakujua kana Dk ni Tiss,s mbobezi!
Rise And Fall Of The Kingdom
Hakujua kama Dk ni Tiss,s mbobezi!
Mahera ni kichwa na hutegemewa sana na wanakitengo kwa mambo mengi sasa huyo dogo japo mimi ni mwenzangu lakini wakati ule alifanya ujinga!
Kwahiyo unataka kutusadikisha kuwa kuwafokea watu walioko chini yako kwenye mamlaka ni kosa kwakuwa tu ipo siku wanaweza kukuzidi madaraka...!
Lakini alitoa sababu kuwa walipata hitilafu je bado kulikuwa na haja ya kumfokea? kuwa na madaraka si kigezo cha kuumiza walio chini yako...
Bahati nzuri kila ujinga waufanyao boss wao anaufurahia, aliwaambia Dk Shoo (mkuu wa kkkt) kwamba nyinyi viongozi wa sasa hasa vijana muache kujitutumua kama chatu, (hapo pembeni alikuwepo kigwangala akiwa amejivimbisha kama kifutu)Hao vijana wa magufuli hakuna mwenye busara wao kila kitu ni kutumia nguvu bila hata ya kuangalia umri wa mtu sasa hayo ndiyo matokeo yake
Jerry hata akigombea huyo hawezi kufanya kitu. Si unajua Jerry kama ni kuminywa labda kwenye chama chake wakiacha kurudisha jina lake, lakini kama akipitishwa na chama chake, mwenye mamlaka ya "kumminya ma.pu.mbu" ni mkurugenzi wa halmashauri atakayogombea Jerry, mfano Arumeru au Tandahimba ndie msimamizi mkuu wa uchaguzi na ndie anayetangaza matokeo. Huyo wa Taifa ni ngazi ya juu sana, sana sana atamtangaza rais tuYes, halafu Jerry anataka kugombea ubunge,patamu hapo
Umenikumbusha Paulo Makonda alivyomfokea yule mama wa idara ya ardhi...Kuwafokea watu walio kuzidi kiumri hiyo ni laana kubwa maishani
Bahati nzuri kila ujinga waufanyao boss wao anaufurahia, aliwaambia Dk Shoo (mkuu wa kkkt) kwamba nyinyi viongozi wa sasa hasa vijana muache kujitutumua kama chatu, (hapo pembeni alikuwepo kigwangala akiwa amejivimbisha kama kifutu)
Umenikumbusha Paulo Makonda alivyomfokea yule mama wa idara ya ardhi...
Nakwede, Hivi si wateuliwa wa rais (wakurugenzi) walipigwa marufuku na mahakama kusimamia chaguzi ??!! au mimi sikuelewa vema ??Jerry hata akigombea huyo hawezi kufanya kitu. Si unajua Jerry kama ni kuminywa labda kwenye chama chake wakiacha kurudisha jina lake, lakini kama akipitishwa na chama chake, mwenye mamlaka ya "kumminya ma.pu.mbu" ni mkurugenzi wa halmashauri atakayogombea Jerry, mfano Arumeru au Tandahimba ndie msimamizi mkuu wa uchaguzi na ndie anayetangaza matokeo. Huyo wa Taifa ni ngazi ya juu sana, sana sana atamtangaza rais tu
Sikumbuki hata mie kama kweli hiyo kitu ilitolewa maamuzi. Ngoja nimuulize Mmawia labda yeye anajuaNakwede, Hivi si wateuliwa wa rais (wakurugenzi) walipigwa marufuku na mahakama kusimamia chaguzi ??!! au mimi sikuelewa vema ??
Mahakama ilishatoa maamuzi sema ni kwasababu serikali hii ya jiwe huwa inapuuza hata maamuzi ya mahakama kwa kisisngizio kwamba yenyewe ni muhimili uliojichimbia chini zaidi ya mihimili mingine hiyo miwiliSikumbuki hata mie kama kweli hiyo kitu ilitolewa maamuzi. Ngoja nimuulize Mmawia labda yeye anajua
Dr. alikuwa anacheka zake tu.Hakujua kana Dk ni Tiss,s mbobezi!
Msamaha nini? Acha vichekesho vyakoKwa kweli kwa siku ya leo nimefurahi sana kwa kitendo kilichofanywa na Rais Magufuli kwa kumteua Daktari Mahera kuwa mkurugenzi mpya wa tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Kama mtakavyokumbuka miaka ya hivi karibuni Mkuu wa wilaya ya Arumeru, Jerry Muro alimfokea hadharani Dk. Mahera kisa kachelewa kwenye msafara wa Muro,cha kushangaza alifokewa mbele ya Mkuu wa Mkoa, kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa na wilaya.
Licha ya Dk. Mahera kujitetea kuwa usafiri ulipata itilafu DC Muro aliendelea kumwambia kuwa Mkurugenzi usicheke acha dharau bila kujua kimaumbile ndivyo alivyouumbwa.
Kwa tukio la leo lililofanywa na Rais ni fundisho tosha kwetu wanasiasa na hata tusio wanasiasa .
Hivyo, DC Muro unapaswa uende ukamuombe msamaha Dr. Mahera kwani ni boss mkubwa sasa.
Wanajisahau sana hao ma RC na ma DC.