wankuru nyankuru
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 491
- 763
Mbwa kala mbwa....no issuesKwa kweli kwa siku ya leo nimefurahi sanaaa kwa kitendo kilichofanywa na Rais wetu mpendwa Daktari Jpm kwa kumteua Daktari Mahera kuwa mkurugenzi mpya wa tume ya taifa ya uchaguzi.
Kama mtakavyo kumbuka miaka ya hivi karibuni Mkuu wa wilaya ya arumeru DC muro alimfokea hadharani Dk mahera kisa kachelewa kwenye msafara wa DC muro ,cha kushangaza alifokewa mbele ya mkuu wa mkoa, kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa na wilaya. Licha ya Dk mahera kujitetea kuwa usafiri ulipata itilafu DC muro aliendelea kumwambia kuwa mkurugenzi usicheke acha dharau bila kujua dk kimaumbile ndivyo alivyouumbwa.
Kwa tukio la leo lililofanywa na Rais ni fundisho tosha kwetu wanasiasa na hata tusio wanasiasa .
Hivyo, DC muro unapaswa uwende ukamuombe msamaha dk mahera kwani ni boss mkubwa sasa.
Alimnyooshea kidole huku akimwambia "Ni upuuzi huo"Kwa kweli kwa siku ya leo nimefurahi sanaaa kwa kitendo kilichofanywa na Rais wetu mpendwa Daktari Jpm kwa kumteua Daktari Mahera kuwa mkurugenzi mpya wa tume ya taifa ya uchaguzi.
Kama mtakavyo kumbuka miaka ya hivi karibuni Mkuu wa wilaya ya arumeru DC muro alimfokea hadharani Dk mahera kisa kachelewa kwenye msafara wa DC muro ,cha kushangaza alifokewa mbele ya mkuu wa mkoa, kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa na wilaya. Licha ya Dk mahera kujitetea kuwa usafiri ulipata itilafu DC muro aliendelea kumwambia kuwa mkurugenzi usicheke acha dharau bila kujua dk kimaumbile ndivyo alivyouumbwa.
Kwa tukio la leo lililofanywa na Rais ni fundisho tosha kwetu wanasiasa na hata tusio wanasiasa .
Hivyo, DC muro unapaswa uwende ukamuombe msamaha dk mahera kwani ni boss mkubwa sasa.
Kwahiyo unataka kutusadikisha kuwa kuwafokea watu walioko chini yako kwenye mamlaka ni kosa kwakuwa tu ipo siku wanaweza kukuzidi madaraka...!Kwa kweli kwa siku ya leo nimefurahi sanaaa kwa kitendo kilichofanywa na Rais wetu mpendwa Daktari Jpm kwa kumteua Daktari Mahera kuwa mkurugenzi mpya wa tume ya taifa ya uchaguzi.
Kama mtakavyo kumbuka miaka ya hivi karibuni Mkuu wa wilaya ya arumeru DC muro alimfokea hadharani Dk mahera kisa kachelewa kwenye msafara wa DC muro ,cha kushangaza alifokewa mbele ya mkuu wa mkoa, kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa na wilaya. Licha ya Dk mahera kujitetea kuwa usafiri ulipata itilafu DC muro aliendelea kumwambia kuwa mkurugenzi usicheke acha dharau bila kujua dk kimaumbile ndivyo alivyouumbwa.
Kwa tukio la leo lililofanywa na Rais ni fundisho tosha kwetu wanasiasa na hata tusio wanasiasa .
Hivyo, DC muro unapaswa uwende ukamuombe msamaha dk mahera kwani ni boss mkubwa sasa.
Kwa taarifa yako,Mahera hajapanda Cheo. Amebadilishwa majukumu tu. Tena kimkakati....Kwa kweli kwa siku ya leo nimefurahi sanaaa kwa kitendo kilichofanywa na Rais wetu mpendwa Daktari Jpm kwa kumteua Daktari Mahera kuwa mkurugenzi mpya wa tume ya taifa ya uchaguzi.
Kama mtakavyo kumbuka miaka ya hivi karibuni Mkuu wa wilaya ya arumeru DC muro alimfokea hadharani Dk mahera kisa kachelewa kwenye msafara wa DC muro ,cha kushangaza alifokewa mbele ya mkuu wa mkoa, kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa na wilaya. Licha ya Dk mahera kujitetea kuwa usafiri ulipata itilafu DC muro aliendelea kumwambia kuwa mkurugenzi usicheke acha dharau bila kujua dk kimaumbile ndivyo alivyouumbwa.
Kwa tukio la leo lililofanywa na Rais ni fundisho tosha kwetu wanasiasa na hata tusio wanasiasa .
Hivyo, DC muro unapaswa uwende ukamuombe msamaha dk mahera kwani ni boss mkubwa sasa.
Kwa hiyo ni kama "chizi" mpya?Hakujua kama Dk ni Tiss,s mbobezi!
Mahera ni kichwa na hutegemewa sana na wanakitengo kwa mambo mengi sasa huyo dogo japo mimi ni mwenzangu lakini wakati ule alifanya ujinga!
Lakini alitoa sababu kuwa walipata hitilafu je bado kulikuwa na haja ya kumfokea? kuwa na madaraka si kigezo cha kuumiza walio chini yako...Kwahiyo unataka kutusadikisha kuwa kuwafokea watu walioko chini yako kwenye mamlaka ni kosa kwakuwa tu ipo siku wanaweza kukuzidi madaraka...!
Kwa kweli kwa siku ya leo nimefurahi sana kwa kitendo kilichofanywa na Rais Magufuli kwa kumteua Daktari Mahera kuwa mkurugenzi mpya wa tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Kama mtakavyokumbuka miaka ya hivi karibuni Mkuu wa wilaya ya Arumeru, Jerry Muro alimfokea hadharani Dk. Mahera kisa kachelewa kwenye msafara wa Muro,cha kushangaza alifokewa mbele ya Mkuu wa Mkoa, kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa na wilaya.
Licha ya Dk. Mahera kujitetea kuwa usafiri ulipata itilafu DC Muro aliendelea kumwambia kuwa Mkurugenzi usicheke acha dharau bila kujua kimaumbile ndivyo alivyouumbwa.
Kwa tukio la leo lililofanywa na Rais ni fundisho tosha kwetu wanasiasa na hata tusio wanasiasa .
Hivyo, DC Muro unapaswa uende ukamuombe msamaha Dr. Mahera kwani ni boss mkubwa sasa.
Punguza emotions, magufuli ndo ana matatizo, si angemfukuza Huyo muro kwa ukosefu wa maadiliKwa kweli kwa siku ya leo nimefurahi sana kwa kitendo kilichofanywa na Rais Magufuli kwa kumteua Daktari Mahera kuwa mkurugenzi mpya wa tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Kama mtakavyokumbuka miaka ya hivi karibuni Mkuu wa wilaya ya Arumeru, Jerry Muro alimfokea hadharani Dk. Mahera kisa kachelewa kwenye msafara wa Muro,cha kushangaza alifokewa mbele ya Mkuu wa Mkoa, kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa na wilaya.
Licha ya Dk. Mahera kujitetea kuwa usafiri ulipata itilafu DC Muro aliendelea kumwambia kuwa Mkurugenzi usicheke acha dharau bila kujua kimaumbile ndivyo alivyouumbwa.
Kwa tukio la leo lililofanywa na Rais ni fundisho tosha kwetu wanasiasa na hata tusio wanasiasa .
Hivyo, DC Muro unapaswa uende ukamuombe msamaha Dr. Mahera kwani ni boss mkubwa sasa.
Hivi kumbe ndie aliyefokewa kipindi kile!
Mbwa kala mbwa....no issues
Wanajisahau sana hao ma RC na ma DC.
Alimnyooshea kidole huku akimwambia "Ni upuuzi huo"