DC Makonda kanitoa machozi

DC Makonda kanitoa machozi

eddy

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2007
Posts
17,080
Reaction score
12,300
DC Makonda kwenye kipindi cha mboni show katoa ushuhuda wa familia iliyodhulumiwa kiwanja, mkasa huu umenitoa machozi, natamani ni pate hata mpesa ya makonda nimtumie pesa aipelekee hiyo familia.
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Mkuu weka basi kiduchu hicho kisa.
 
Haya mambo mnayasikia leo kuna watu wameyaishi miaka kumi na ushee sasa...haki za watu zimenunuliwa kwenye kalatasi za kutolea HAKI
 
mi ccm haina tofaut na mamba makonda tapel tu na toothless dog,halaf hata hayo machoz yako fake tu hata hayana ladha ya chumvi! Hiyo mmpesa unamtumia makonda au wahanga?
 
DC Makonda anasema ukibabaishwa na mtumishi wa umma ametoa namba yake mpandie hewani. Amasema kuna majitu yamekaa ofisini bila wito wa utumishi wa umma anataka kula nayo sahani moja.
 
Anasema zitto ni mwalimu wa wapinzani na amewaasa wapinzani wamwige.
 
ukiona watawala wanampenda mpinzani ujue kuna kitu anaunufaisha utawala
 
I hate politics za ccm but Leo makonda amejibu vizuri saaaana maswali Kama kweli majibu Yale yanatoka ndani ya rohoo yake
 
Hamna mwana siasa kijana mwenye siasa za kisanii kama makonda
Ndio maana muda mwingi washauri wake wamekuwa wasanii wa bongo movie
Simwelewagi kabisa huyu mtu,Kwa huu mwaka lazima atawaombaa wazee wote radhi.JK ndio huyo yupo kwenye dakika za nyongeza kipenga kinalia muda wowote.
 
Nipeni number Yake aje atutatulie mgogoro wa Ardhi Mivumoni
 
DC Makonda kwenye kipindi cha mboni show katoa ushuhuda wa familia iliyodhulumiwa kiwanja, mkasa huu umenitoa machozi, natamani ni pate hata mpesa ya makonda nimtumie pesa aipelekee hiyo familia.

DC Makonda anasema ukibabaishwa na mtumishi wa umma ametoa namba yake mpandie hewani. Amasema kuna majitu yamekaa ofisini bila wito wa utumishi wa umma anataka kula nayo sahani moja.

Hiyo namba aliyotoa ni "landline" au mobile? maana umesema hapo juu kwamba umekosa namba yake umtumie pesa kuisaidia hiyo familia...
 
Na tapeli wa viwanja Papaa Msoffe kafutiwa kesi ya mauaji hivyo Makonda ajiandae kwa kesi mpya za kudhulumiwa viwanja. Kwa kesi mpya atapata dhamana aje kuendeleza utapeli wake.
 
DC Makonda kwenye kipindi cha mboni show katoa ushuhuda wa familia iliyodhulumiwa kiwanja, mkasa huu umenitoa machozi, natamani ni pate hata mpesa ya makonda nimtumie pesa aipelekee hiyo familia.
alipompiga ngwala mzee warioba hukutoka machozi ?
 
Back
Top Bottom