DC Makonda anakula nchi/maisha

DC Makonda anakula nchi/maisha

Warren.T

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2015
Posts
900
Reaction score
318
Looooh!!.............
 

Attachments

  • 1430829806031.jpg
    1430829806031.jpg
    46.1 KB · Views: 5,254
Watu wana wivu hata kwa vitu vidogovidogo!
 
wote wana hereni kasoro yeye tuu kwanini, hawakumkumbusha kuvaa?
 
Mwenye ile picha makonda akimvalisha viatu mtoto sultani atuwekee hapa.
 
we unadhani ukiwa kiongozi ndo na interest zingine zinakufa!

Watu hawamaanishi kuwa ukiwa kiongozi interest zingine zinakufa. Lakini interest zenyewe sharti ziwe zinawaelekeza umma kwenye muelekeo chanya. Lakini hii ya kuhudhuria makusanyiko ambayo hata wahudhuriaji wengine wamevaa mithili ya mbuni ni sawa? Huu ndio mziki wa Bongofleva JK anaosema ungeweza kumlipa hata kama asingekuwa raisi wa nchi, siyo?
 
we unadhani ukiwa kiongozi ndo na interest zingine zinakufa!

Issue sio interest mkuu ila unapaswa ujue kiti anachokalia ni taasisi ambayo ina miiko na taratibu zake ambazo huwezi kuzitenga na personality yako.Kwenye hili inabidi interest ziwe aligned na hadhi/dhamana aliyopewa na mteuzi wake.
 
Issue sio interest kyfa mkuu ila upaswa ujue kiti anachokalia ni taasisi ambayo ina miiko na taratibu zake ambazo huwezi kuzitenga na personality yako.Kwenye hili inabidi interest ziwe aligned na hadhi/dhamani aliyopewa na mteuzi wake.
mmmh...inazuia kwenda kwenye kumbi za starehe...au miiko inasemaje!
 
mmmh...inazuia kwenda kwenye kumbi za starehe...au miiko inasemaje!

Mkuu sio tu inazuia ila kuna baadhi ya matukio yanashusha hadhi ya taasisi unayoongoza.Tafuta kwa muda wako kilichomkuta Lau Masha baada ya kuendesha ofisi akiwa na dhana potofu ya yeye akiwa ofisini na yeye akiwa nje ya ofisi.Mkuu kwa mfano wewe kulewa ukaangusha gari bar inaweza isiwe issue coz unafanya kile moyo wako unataka ila kwa kiongozi kufanya hivyo ni habari.Rejea msimamo wa Mwalimu juu ya miiko ya uongozi.
 
Tukija kwenye siasa hapa ndipo unaona mtazamo wa cdm na hawa wenzao. Ni wazi hawa ni malimbukeni wa starehe lakini kwa hii picha unaweza kuelewa na kukubaliana na Sugu kushindwa kukaa na mzazi mwenzie, hatuwezi kumlaumu tena.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom