upupu255
JF-Expert Member
- Sep 4, 2024
- 341
- 476
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Peter Magoti, amempongeza Mtume Boniface Mwamposa kwa huduma yake ya kiroho na misaada anayoitoa kwa watu wenye mahitaji mbalimbali.
Magoti alisema kuwa Mtume Mwamposa amesaidia watu wengi wenye shida mbalimbali na kutokana na mchango wake mkubwa, alimwomba kuja Kisarawe kujenga nyumba ya ibada ili kusaidia waumini wa eneo hilo.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Amesitiza kuwa uwepo wa nyumba ya ibada utaimarisha imani na kusaidia kuendeleza shughuli za kiroho kwa wakazi wa Kisarawe.
Magoti alisema kuwa Mtume Mwamposa amesaidia watu wengi wenye shida mbalimbali na kutokana na mchango wake mkubwa, alimwomba kuja Kisarawe kujenga nyumba ya ibada ili kusaidia waumini wa eneo hilo.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Amesitiza kuwa uwepo wa nyumba ya ibada utaimarisha imani na kusaidia kuendeleza shughuli za kiroho kwa wakazi wa Kisarawe.