Mi ndo mana kazi ya uasikali nilikataaga' yaan maafande wameshikilia mitutu kukilinda kitoto kidogo hivi.
ULIPOTELEA WAPI, HUONEKANIOperesheni hiyo imeanza leo agosti 7, 2018 kwenye msitu wa Ruvu Kusini ambapo walifanikiwa kuwakamata ng'ombe zaidi ya150 katika eneo hilo huku msako wa kuwasaka wamiliki ukiendelea.View attachment 829651View attachment 829652
Chanzo: Mwananchi
hapana nilimaliza nalala sasaNipo kiongozi..kwani ile mida yetu bado unakuwa online?