The Wolf
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,309
- 20,329
Ukiachana na yaliyopita kipindi cha mwanzoni wa ujana wake, DC jokate wa wilaya ya kisarawe ni mwanamke shupavu sana, anajua kujiongeza na hakika atailetea maendeleo kisarawe, ningekuwa ni raisi basi ningemkabidhi mkoa mzima wa pwani autemdee haki, kisarawe peke yake haimtoshi,
Ni mixer ya charismatic and democratic leader, anajali na wala humsikii akigombana na watu yeye kwake ni maendeleo tuu, goal yake kubwa ni kutokomeza zero kisarawe anafanya makubwa sana kwenye sekta zote hasa kipaumbele chake kikiwa ni elimu kwa watoto wa kike, siku hizi ngoma zimepungua kisarawe
Mh. Raisi nakuomba basi zero zikitokomea utuletee huyu mwanadada atusaidie na hapa dar es salaam, makonda atafaa sana kisarawe
Ni mixer ya charismatic and democratic leader, anajali na wala humsikii akigombana na watu yeye kwake ni maendeleo tuu, goal yake kubwa ni kutokomeza zero kisarawe anafanya makubwa sana kwenye sekta zote hasa kipaumbele chake kikiwa ni elimu kwa watoto wa kike, siku hizi ngoma zimepungua kisarawe
Mh. Raisi nakuomba basi zero zikitokomea utuletee huyu mwanadada atusaidie na hapa dar es salaam, makonda atafaa sana kisarawe