Ni jambo jema...je katoa mfukoni mwake?Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh. Ally Hapi leo ametoa zawadi ya mchele, nyama, mafuta ya kupikia na maharagwe kwa watumishi wa ngazi za chini wakiwemo madereva, makarani na wahudumu kama shukrani ya utumishi wao katika mwaka huu unaoisha wa 2016 na sikukuu za Xmas na Mwaka mpya ujao.
"Mimi na Mkurugenzi tunawashukuru sana kwa utumishi wenu kwa kipindi chote tangu tulipoteuliwa kuja hapa, hasa nyinyi wafanyakazi wa ngazi za chini. Bila nyinyi tusingefanikiwa. Mna mchango mkubwa katika kuifikisha Kinondoni hapa ilipo sasa. Endeleeni na moyo huo wa upendo. Mungu awabariki sana."
Alisema Mkuu wa Wilaya.
View attachment 449718
View attachment 449719
Harufu kali ya rushwa!!!!!Ni jambo jema...je katoa mfukoni mwake?
Manake kwa hali ya uchumi ilivyo haiwezekani Mh.akatoa mfukoni kwake.Harufu kali ya rushwa!!!!!
Isipokuwa ikikutikana kwenye mwongozo wa majukumu yake ikiungwa mkono na budget
Hii Ni hatar, mi sipokeiMkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh. Ally Hapi leo ametoa zawadi ya mchele, nyama, mafuta ya kupikia na maharagwe kwa watumishi wa ngazi za chini wakiwemo madereva, makarani na wahudumu kama shukrani ya utumishi wao katika mwaka huu unaoisha wa 2016 na sikukuu za Xmas na Mwaka mpya ujao.
"Mimi na Mkurugenzi tunawashukuru sana kwa utumishi wenu kwa kipindi chote tangu tulipoteuliwa kuja hapa, hasa nyinyi wafanyakazi wa ngazi za chini. Bila nyinyi tusingefanikiwa. Mna mchango mkubwa katika kuifikisha Kinondoni hapa ilipo sasa. Endeleeni na moyo huo wa upendo. Mungu awabariki sana."
Alisema Mkuu wa Wilaya.
View attachment 449718
View attachment 449719
Lengo ni kuonekana na mkuumafuta lita moja na mchele nusu ndio mapicha kibao kuita waandishi wa habari.. kwenye page yake Instagram ndio kafanya matangazo...
angetoa kimya kimya angepungukiwa nini...