Siasa Basi
JF-Expert Member
- Jul 10, 2016
- 1,493
- 4,276
Kwa kutoa msaada mpaka na camera ziwepo? Naona unafiki tu na kutafuta sifa za kijinga, kwani haiwezekani kutoa huo msaada wa nusu ya mchele na 1litre ya mafuta kimyamya mpaka waandishi wa habari ili kuuza sura za kinamama hapo. Kiki zingine za kilofa tu.