YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Ni Mila zao Sema waandishi wetu wajinga wangeweza tengeneza documentary kaliHii ni kali. Sijawahi kusikia sehemu nyingine. Siyo tabia nzuri hata kidogo. Msiba siyo kitu cha kupitisha matangazo kama hayo hasa kipindi hiki ambacho kuna njia nyingi za mawasiliano
Ni hivi mtu akifa hospital gari hupita ikitangaza mitaani kuwa eg Mwakiyelelelewa aliyekuwa .... Wanataja wasifu kafariki msiba leo msiba uko mahali Fulani
Wakienda kufuata maiti mfano hospital pia gari hupita ikitangaza Sasa ndio tunaenda kuchukua mwili wa marehemu kupeleka uliko msiba
Wakishabeba kupeleka ulipo msiba gari inapita inatangaza Sasa ndio tumebeba mwili wa Marehemu Fulani kwenda nyumbani uliko msiba
Wakiondoka kusafirisha au kuzika gari hutangulia ikitangaza Sasa ndio tunaenda na marehemu kumsafirisha au kuzika kwao au makaburi ya mahali Fulani
Ni desturi zao anyway akina Pascal Mayala wangekuwa Kama waandishi wa CNN wangetengeneza documentary lakini waandishi wetu wengi Ni just reporters wa habari tu hawana Cha ziada
Sidhani Kama Ni sahihi kuzuia watu na desturi zao