warthog gun
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 1,466
- 1,256
Yana mwisho.
Tafadhari umewaambia maana yaelekea mods ni greenguardMkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro ametoa siku 3 kwa Maafisa tarafa na ma -WEO wote kuhakikisha wanawaweka lupango watu wote wanaokaidi kushusha bendera za CHADEMA wilayani humo.
Amesema mtendaji atakayekutwa kuna bendera inapepea katika kata yake atakuwa amejifuta kazi.
Amesema hayo leo hospitalini alikokwenda kuangalia majeruhi wa ajali.
(mod acha uzi huu tafadhali)
Wakuu msaada wa uzi kwa yaliyotokea Sudan; nasikia tu na nipo mbal sana na vyombo vya habar.Nasikia yule wa sudan kagoma kula chakula huko jela
sina hakika kama unaishi dunia hii tunayoishi sisi ikiwa tu taarifa hizi kwako ni ngeni.Unaushahidi na kinachelezwa hapa?
Kalewa madalakaMkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro ametoa siku 3 kwa Maafisa tarafa na ma -WEO wote kuhakikisha wanawaweka lupango watu wote wanaokaidi kushusha bendera za CHADEMA wilayani humo.
Amesema mtendaji atakayekutwa kuna bendera inapepea katika kata yake atakuwa amejifuta kazi.
Amesema hayo leo hospitalini alikokwenda kuangalia majeruhi wa ajali.
(mod acha uzi huu tafadhali)