DC Arumeru atoa siku 3 bendera za CHADEMA zishushwe wilayani kwake

Kama ni kweli basi atakuwa ni msaliti wa serikali iliyo mteua maana hilo jambo kamwe halitakubaliwa na jamii ya watu walio staarabika
Mkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro ametoa siku 3 kwa Maafisa tarafa na ma -WEO wote kuhakikisha wanawaweka lupango watu wote wanaokaidi kushusha bendera za CHADEMA wilayani humo.

Amesema mtendaji atakayekutwa kuna bendera inapepea katika kata yake atakuwa amejifuta kazi.

Amesema hayo leo hospitalini alikokwenda kuangalia majeruhi wa ajali.
(mod acha uzi huu tafadhali)
 
Sasa kwanini tumshangaee mtu kama huyo!! Udc kapewa kwa ulopokaji na sio uwezo au sifaa za kiuongozi!!!.
 
WEKA U
Mkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro ametoa siku 3 kwa Maafisa tarafa na ma -WEO wote kuhakikisha wanawaweka lupango watu wote wanaokaidi kushusha bendera za CHADEMA wilayani humo.

Amesema mtendaji atakayekutwa kuna bendera inapepea katika kata yake atakuwa amejifuta kazi.

Amesema hayo leo hospitalini alikokwenda kuangalia majeruhi wa ajali.
(mod acha uzi huu tafadhali)
WEKA USHAHIDI SIYO KULETA HADITHI ZA ULE ULE HAPA
 
It is shocking, lakini ni kipimo cha msimamo wa serikali. Ataungwa mkono na RC na Jiwe. Msajili naye atakaa kimya ni mkuki kwa nguruwe.
 
Mkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro ametoa siku 3 kwa Maafisa tarafa na ma -WEO wote kuhakikisha wanawaweka lupango watu wote wanaokaidi kushusha bendera za CHADEMA wilayani humo.

Amesema mtendaji atakayekutwa kuna bendera inapepea katika kata yake atakuwa amejifuta kazi.

Amesema hayo leo hospitalini alikokwenda kuangalia majeruhi wa ajali.
(mod acha uzi huu tafadhali)

Watumie muda huo kuwaza na kutatua Changamoto za Wananchi sio kuwaza juu ya Matumbo yao!
IMG_20190423_002551.jpg
 
CCM sio baba yangu wala mama yangu naweza kuhama.

Huyo DC alipewa kiburi baada ya kusifiwa na yule Ara piii sii ambaye ni kada mwenzake wa Kidumu chama cha mapinduzi, aliyetokea kule kwenye jiji ambalo askari wake walihongwa mil.700 na mapesa mengine zaidi ya mil.300 kukutwa kwenye gari yakisindikizwa kwa mabunduki na madini kutoroshwa huku yeye akiwa amekunja NNE ofisini.
Sasa cha ajabu anazidi kupanda juu kileleni pamoja na mamilioni ya pesa kutolewa kama rushwa kwa watu waliokua kwenye himaya yake.

Ukiwa kada raha na karaha kwa wengine.

Kama DC ametoa amri hiyo halafu Chadema wakakaa kimya tutaamini kuwa viongozi wa chama hicho ni wasaliti wakubwa .
 
DC wa Dom anapwaya sn nae anatakiwa ajilipue kama wenzake, natabiri mzunguko wa pili wa kubadilishia watu vyeo atatemwa na kupewa mtatiro nafasi yake.
 
Mkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro ametoa siku 3 kwa Maafisa tarafa na ma -WEO wote kuhakikisha wanawaweka lupango watu wote wanaokaidi kushusha bendera za CHADEMA wilayani humo.

Amesema mtendaji atakayekutwa kuna bendera inapepea katika kata yake atakuwa amejifuta kazi.

Amesema hayo leo hospitalini alikokwenda kuangalia majeruhi wa ajali.
(mod acha uzi huu tafadhali)
Kama kawa wazee wa kuzusha,hata mtt mdogo au kichaa hawezi kuamini kitu hiki au kusema kitu hiki,mnajishushia kuzusha mambo ili kuwafanya wananchi waichukie serikali yao.

Msipoacha tabia hii ya kuzusha mambo pasipoushahidi mnapotea muda si mrefu
 
Nikisoma comments za watanzania naishia kusema Mtanzania ni msukule wa hovyo hapa dunian
 
Jerry ni kijana ajue tu mZee baba ana miaka 6 atakuwa out of power, maisha yataendelea, Kama yuko upande wa mfumo asijisahau kabisa mana kesho na kesho kutwa upepo unaweza kumbadilikia, Huyo DC ningekuwa arumeru afu mwajiliwa wake kuna siku tu ningemzingua na kuacha kazi
Yaani cdm ni wepesi sana kuamini kila ujinga wenzao wanaoleta humu pasipo kupima ukweli wake,wao ni kusuport tu hata m-cdm akileta thread kuwa trump anajiunga na cdm na atagombea kupitia cdm 2020 watakubali tu
 

Similar Discussions

5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom