Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro ametoa siku 3 kwa Maafisa tarafa na ma -WEO wote kuhakikisha wanawaweka lupango watu wote wanaokaidi kushusha bendera za CHADEMA wilayani humo.
Amesema mtendaji atakayekutwa kuna bendera inapepea katika kata yake atakuwa amejifuta kazi.
Amesema hayo leo hospitalini alikokwenda kuangalia majeruhi wa ajali.
(mod acha uzi huu tafadhali)
Taratibu, tutafika Sudan
Hapo ndio muda wa kupandisha bendera mpya za cdm. Huenda CDF akatolea kauli huu utunzaji wa amani uliotolewa na Jerry Muro.
Akili Ndogo Inapopewa Kazi Inayohitaji Akili Kubwa Haya Ndiyo Matokeo Yake.
WEKA USHAHIDI SIYO KULETA HADITHI ZA ULE ULE HAPAMkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro ametoa siku 3 kwa Maafisa tarafa na ma -WEO wote kuhakikisha wanawaweka lupango watu wote wanaokaidi kushusha bendera za CHADEMA wilayani humo.
Amesema mtendaji atakayekutwa kuna bendera inapepea katika kata yake atakuwa amejifuta kazi.
Amesema hayo leo hospitalini alikokwenda kuangalia majeruhi wa ajali.
(mod acha uzi huu tafadhali)
Nasikia yule wa sudan kagoma kula chakula huko jela
Nadhani amekejeli tu hilo lichama Hana Nia mbayaUnakosea sana mkuu kusema eti CCM itabaki kileleni kila kitu kina mwisho hata Dunia ina mwisho ije kuwa CCM chama cha kihalifu?
Mkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro ametoa siku 3 kwa Maafisa tarafa na ma -WEO wote kuhakikisha wanawaweka lupango watu wote wanaokaidi kushusha bendera za CHADEMA wilayani humo.
Amesema mtendaji atakayekutwa kuna bendera inapepea katika kata yake atakuwa amejifuta kazi.
Amesema hayo leo hospitalini alikokwenda kuangalia majeruhi wa ajali.
(mod acha uzi huu tafadhali)
Kama kawa wazee wa kuzusha,hata mtt mdogo au kichaa hawezi kuamini kitu hiki au kusema kitu hiki,mnajishushia kuzusha mambo ili kuwafanya wananchi waichukie serikali yao.Mkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro ametoa siku 3 kwa Maafisa tarafa na ma -WEO wote kuhakikisha wanawaweka lupango watu wote wanaokaidi kushusha bendera za CHADEMA wilayani humo.
Amesema mtendaji atakayekutwa kuna bendera inapepea katika kata yake atakuwa amejifuta kazi.
Amesema hayo leo hospitalini alikokwenda kuangalia majeruhi wa ajali.
(mod acha uzi huu tafadhali)
Yaani cdm ni wepesi sana kuamini kila ujinga wenzao wanaoleta humu pasipo kupima ukweli wake,wao ni kusuport tu hata m-cdm akileta thread kuwa trump anajiunga na cdm na atagombea kupitia cdm 2020 watakubali tuJerry ni kijana ajue tu mZee baba ana miaka 6 atakuwa out of power, maisha yataendelea, Kama yuko upande wa mfumo asijisahau kabisa mana kesho na kesho kutwa upepo unaweza kumbadilikia, Huyo DC ningekuwa arumeru afu mwajiliwa wake kuna siku tu ningemzingua na kuacha kazi