My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,283
Humwonei huruma hata Dikteta wa Tanzania? Naye kuna siku atagoma kulaMwache afe!
Humwonei huruma hata Dikteta wa Tanzania? Naye kuna siku atagoma kulaMwache afe!
Sio easyHumwonei huruma hata Dikteta wa Tanzania? Naye kuna siku atagoma kula
Unakosea sana mkuu kusema eti CCM itabaki kileleni kila kitu kina mwisho hata Dunia ina mwisho ije kuwa CCM chama cha kihalifu?Una ni furahisha SAAANA!
MY SON DRINK WATER.......
Hata hao wanaompa chakula wanakosea, alitakiwa hata hicho chakula asipewe.
Hahahahah...ndo maana nampenda sana Mungu,alitupa fumbo zito kuhusu kesho yetu,hata Bashir alisema not easy!Sio easy
Hata dikteta Bashiru alisema hivo hivo tafuta clip zake,mwezi uliopita ungemtabiria utakwenda jela wwe angeagiza uchapwe risasi.Dikteta hana heshima miti ikitelezaSio easy
Any way Mimi sio mwana siasa,Hata dikteta Bashiru alisema hivo hivo tafuta clip zake,mwezi uliopita ungemtabiria utakwenda jela wwe angeagiza uchapwe risasi.Dikteta hana heshima miti ikiteleza
Mungu uwashusha wenye kiburiMITHALI 28: 15-16
Kama simba angurumaye, na dubu mwenye njaa; Ndivyo alivyo mtu mbaya awatawalaye maskini.
Mkuu aliyepungukiwa akili huiwaonea watu sana. Bali achukiaye kutamani ataongezewa siku zake.
Hakuna asiye mwanasiasa, huwezi tenganisha maisha na siasaAny way Mimi sio mwana siasa,
JAPO NAPENDA AMANI NA MAENDELEO KWA WATz WOTE
Unakosea sana mkuu kusema eti CCM itabaki kileleni kila kitu kina mwisho hata Dunia ina mwisho ije kuwa CCM chama cha kihalifu?
Agome tu. Ashakula sanaNasikia yule wa sudan kagoma kula chakula huko jela