niPM namb yako mi mwenyewe nawaza hayohayo ya kuoa,pengne mungu ana maksud yake..
Aunti kuwa makini...matapeli wamo humu humu
duh!!!!!!!!!!!!!:A S 39::A S 39::A S 39:
ha haa kama vile umetapeliwa humu sana au? lol
muache mwenzio ajaribu bahati yake
we mpaka Tamwa waje ni lini? lol
hahahaha hao Tamwa nawatafuta kikazi zaidi,asikwambie mtu mie nikisimama barabarani hata muda huu sikosi foleni ya watakaotaka kutangaza nia ya ndoa,lakini nataka nikukurukeeeeeeeeeeeeeee nikiingia huko aaaah kiroho safi kabisa mikono nyuma nakuwa mama kweli.
Ufanye basi tukukuruke wote siku moja
nikukomaze komaze
ili ukiolewa usipate tabu lol
utanifia kiunoni ww watafute kina Bi.Cheka ndo size yako,mi nimeshakomaa tayari nimekata kuni na kulima sana kijijini kwetu baiskeli ndo usiseme nahisi ndo ilinitoa bi...... sasa unikomaze nn tena.
lol! I luv u jfmhm unataka kuolewa...umri umefika tafuta mume kama vipi njoo kwangu ila mie nataka mwanamke asie taka kuzaa
ndoa za siku hizi ndg yangu ni pasua kichwa hata usikimbilie kuolewa,hebu tengeneza maisha kwanza ndoa itakuja baadae usije kuingia huko ukawa kwenye lile kundi la wake za watu wasiojiheshimu
mhm unataka kuolewa...umri umefika tafuta mume kama vipi njoo kwangu ila mie nataka mwanamke asie taka kuzaa
mpaka kaanza kufiria kuolewa, mwenzio kajipanga bibie!!