DAWASCO Boko yaogopa kutumbuliwa?

mgt software

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
13,767
7,115
Wanajamii

Leo DAWASCO Boko wameamua kurejea kwenye majengo yao ya zamani baada kuyatelekeza yapata miaka miwili hivi na kwenda kupanga nyumba binafsi. Ilikuwa haiingii akillini kuacha majengo yao na kupanga kwenye kajumba ambako hakana hata pakingi. Sijui wameogopa kutumbuliwa au la, hivi hawa watendaji hawamwogopi mkuu wa nchi kufanya mambo kama haya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…