DAWASCO Boko yaogopa kutumbuliwa?

mgt software

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
13,753
7,075
Wanajamii

Leo DAWASCO Boko wameamua kurejea kwenye majengo yao ya zamani baada kuyatelekeza yapata miaka miwili hivi na kwenda kupanga nyumba binafsi. Ilikuwa haiingii akillini kuacha majengo yao na kupanga kwenye kajumba ambako hakana hata pakingi. Sijui wameogopa kutumbuliwa au la, hivi hawa watendaji hawamwogopi mkuu wa nchi kufanya mambo kama haya?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom