KERO DAWASA ni jipu lililoiva, Goba hatuna maji yapata week sasa

KERO DAWASA ni jipu lililoiva, Goba hatuna maji yapata week sasa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Yani ni namna gani unaona kabisa Serikali bado haijawa serious, imagine maeneo ya Goba maji ya Dawasa hayatoki yapata week sasa na hatujui chochote kinachoendelea. Kufanya kazi serikalini nimeamini ni raha sana, yani huduma hutoi na mshahara unaingia!
DAWASA
 
Back
Top Bottom