Mzee Wa Kale Kabisa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2018
- 2,627
- 4,343
Yani ni namna gani unaona kabisa Serikali bado haijawa serious, imagine maeneo ya Goba maji ya Dawasa hayatoki yapata week sasa na hatujui chochote kinachoendelea.
Kufanya kazi serikalini nimeamini ni raha sana, yani huduma hutoi na mshahara unaingia!
Kufanya kazi serikalini nimeamini ni raha sana, yani huduma hutoi na mshahara unaingia!