dawa za ukimwi hizooo

Hii sasa kama imeshaonyesha madhara wizara ya afya iko wapi sasa itoe tamko
 
kwa hiyo hata tbs wameshindwa kujua kiwango au ndo uchakachuaji!hii mjomba ameiona kwel?this is too much!hawa weupe watatugeuza nyan!aisee inatisha sasa!
 
Hizi dawa zilitengenezwa kwa ajili ya wazungu. Damu yetu ina high resistance ndio maana yanatokea mambo kama haya. Tutafute ya kwetu.
 
Jamani kuna anayetumia dawa hizi hapa jukwaani? Kama unatumia hebu tuambie zipo vipi! Umeotwa na matiti au?
 
Duhh... Yani jamaa kama anakamkosi fulani maskini lakini kila moja anajua kila kitu katika dunia hii kina faida na mazara yake hata kama haukuyaona wewe basi mwenzako atayaona ndio kama hivi....any ways namtakia kila la kheri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…