kwa hiyo hata tbs wameshindwa kujua kiwango au ndo uchakachuaji!hii mjomba ameiona kwel?this is too much!hawa weupe watatugeuza nyan!aisee inatisha sasa!
Duhh... Yani jamaa kama anakamkosi fulani maskini lakini kila moja anajua kila kitu katika dunia hii kina faida na mazara yake hata kama haukuyaona wewe basi mwenzako atayaona ndio kama hivi....any ways namtakia kila la kheri