kwa hiyo hata tbs wameshindwa kujua kiwango au ndo uchakachuaji!hii mjomba ameiona kwel?this is too much!hawa weupe watatugeuza nyan!aisee inatisha sasa!
Duhh... Yani jamaa kama anakamkosi fulani maskini lakini kila moja anajua kila kitu katika dunia hii kina faida na mazara yake hata kama haukuyaona wewe basi mwenzako atayaona ndio kama hivi....any ways namtakia kila la kheri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.