Kati ya dawa za mswaki na kuingia uvinza, ipi ni hatari zaid?
Duu hii ndio naisikia leoVp na wale wanaotumia dawa ya meno kaama colget katika kuongeza nguvu za kuime
Sina choyo mkuu.Tengeneza dawa yako ya mswaki kwa kutumia ingridients zifuatazo:1.vijiko sita vya mafuta ya nazi mazuri 2.Vijiko sita vya baking powder nzuri 3.Matone 25 ya mafuta ya mkaratusi au grapefruit 4.Kijiko kimoja cha unga wa stevia.Stevia ni mmea ambao ukipondwa unatumika kama sugar substitute.Stevia inatumika pia kwenye vidonda vya moto,maumivu ya tumbo na wakati mwingine inatumika kama contraceptive.Changanya vitu vyote vizuri kwenye chombo mpaka upate rangi ya cream.Weka kwenye kichupa kisichoingiza hewa kwa urahisi na funga vizuri tayari kwa kutumia itakapo hitajika.
Hata sabuni itapendeza zaidiTumia mkaa basi