Dawa za Kulevya: Nape aasa "Tusiwahukumu watu kwa Tuhuma, kubomoa brand ya mtu/taasisi ni sekunde"

Ye alivyomharibia lowasa kwa kumuita fisadi alitumia busara ktk ubongo upi,medulla oblongata au cerebellum
tena walimtaja pale mwemeyanga kwa mbwembwe na kusema ushahidi wanao, sasa wanashindwa nini kuwataja hao bigfishes? huyohuyo tundu lissu alikuwa anatemea na orodha ya watu waliofukiwa mgodini kule kahama, hayo orodha ya wala ngada inampigaje chenga? siaipeleke kwa makonda awataje! watu wengine hovyo sana.
 
Hii vita Si ya mtu mmoja mmoja inahitaj ushirikiano wa serikal, taasis na jamii Kusema sasa basi inatosha tunamuhitaji Durtete wa Tanzania
 
Back
Top Bottom