Hakika umenenaAache taratibu zifuate mkondo wake. Angekuwa anathamini brands and names, angesha hakikisha Ray C na Chid Benz (walioharibu brands and names zao kupitia madawa) wanasaidiwa kwa kuwakamata wale wanaowauzia.
Nakuunga mkonoKwa hoja hii nakubaliana na wewe. But kwa hoja ya kuchukua hatua hata kama ni ndogo lakini ikiwa na lengo la kuikumbusha jamii kuhusu janga la madawa ya kulevya bado nitamuunga makonda mkono
Hakuna aliye mzuia kuendelea lakin ni kwa wenye akili pekee ndio wanaweza kuona dosari ilipo lakin kwa watu wa jamii yako ni ngumu sana kuliona tatizo.Makonda aendelee na kazi. Hata kama wanasema anadeal na dagaa si haba. Hata ukimuondoa dagaa katika uhalifu unakuwa umepunguza effect katika jamii. Huyo Papa unatafuta namna ya kudeal naye kimyakimya.
Hata Escobar alitafutiwa namna ya kummaliza. It is just a matter of time and courage to do so.
Nape analitazama hili katika kuiharibu status quo ya mtu. Je, amejiuliza kama hizi status quo zitakuwa zimetokana na uhalifu ambao umeharibu jamii kubwa mbali na kusaidia kumtengenezea mtu mmoja jina?
Hii nchi ni ya Watanzania. Si ya mtu mmoja mmoja. Mtu mmoja mmoja anyenyekewe na wanaofaidi toka kwake. Kwa Watanzania, jamii pana ndiyo kipaumbele chetu.
Hata Makongoro Nyerere alikwenda kupigana vita ya Kagera ili kuwalinda watanzania. Mwalimu angethamini uthamani wa mtu mmoja mmoja, basi asingeruhusu mwanaye akapigane. Ndivyo nionavyo juu ya hii issue ya Brands na Names zinazoonekana kuwa zitaharibiwa kwa tuhuma at the expense of Tanzanians (men, women, youth and children).
Tuhuma hazijatoka hewani. Ni yangu imani source ya tuhuma ni wahusika ama watumiaji ama intelijensia ama wauzaji wenyewe.
Aache taratibu zifuate mkondo wake. Angekuwa anathamini brands and names, angesha hakikisha Ray C na Chid Benz (walioharibu brands and names zao kupitia madawa) wanasaidiwa kwa kuwakamata wale wanaowauzia.
What is a brand and those big names to him? Watanzania wa chini wabaki wanaumia kisa brands and names? What a joke to Tanzanians?
Well said Bw Waziri, Busara ni muhimu kuliko kujitafutia umaarufu binafsi.
Aseme kama ni miongoni mwao,Maana anataka iwe siri kuwajibisha wakati kila mtu anajua fulan anatumia na fulan hatumii
So kwa hoja yako hawa wasambazaji wadogo wasibugudhiwe tudeal na wasambazaji wakubwa tu?Always ukimsikiliza Makonda Ana nia nzuri ila anakosa utafiti WA kutosha.
kwann?
tuanze Na suala la nauli bure kwa walimu, sasa ivi ndio kweli ingekuwa Safi walimu kupewa smart card free ya kusafiria kuliko kubana vyombo binafsi.
swali zipo daladala toka kimara Adi kariakoo Na posta walim huenda bure, lakin akipanda mwendokasi sio tena 400 Bali 650 je tatizo la kulipia nauli toka 400-650 je limempunguzia Mwl mzigo au limemuongezea gharama? hapa ndio leadership ionekane, vp ushawishi wake ukubalike kwa vyombo binafsi halaf yeyr akiwa yupo serikalini asifaninikishe walim kusafiri bure# 1st challenge.
kulikuwa Na suala la wakazi WA dar kupaka rangi nyumba. ngoja kwanza nicheke hahahahaha. MTU hajui atakula nn apake nyumba rangi. hivi tunaxingatia reality ya maisha ya mtanzania kweli. mm kuna nyumba nilipanga miaka nennda rudi HT ndani kwenyewe hakuna rangi Leo apige rangi nje.hii nayo haijufanyiwa utafiti kwenye ground
mwisho ni suala la sembe, bangi. hivi mtaani kila mahala vimeenea, mateja HT ukikaa stwndi wapiga debe kibao ni mateja. nauliza kuna tofauti gn ya mpiga debe na celebrity ltk kutumia sembe.
tunataka list of drug dealers sio drug users.
ukimkamata mtumiaji wakati supplier anadunda utakuwa unafanya nn? we need high profile drug dealers,politicians and businessmen watajwe.
Usionewe wala usionee watu, haki iwe ndio muongozo wetu.
Haswaaaa. Hawa wengine ni wale wale. Brand ooo hakuna Makonda piga mzigo tunakuombea lala usingizi mungu akutie nguvu mpaka kieleweke Dkt.JPM wasikilize wanaoweweseka ndg ndio kwanza first episodeHebu hili swala aachiwe makonda mwenyewe.
Hakuna vita isiyo na dosari ndugu wacha vita iendelee kushindwa na kushinda hayo ni matokeo tu lakini uthubutu kwenye hili ni jambo la msingi mno mno mnoHakuna aliye mzuia kuendelea lakin ni kwa wenye akili pekee ndio wanaweza kuona dosari ilipo lakin kwa watu wa jamii yako ni ngumu sana kuliona tatizo.
Yaah, umewaza kama mimi mkuu, inabidi aongeekitu aisee.Mimi nataka kumsikia Mwigulu tu