Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Wana JF
Ukimpiga mwanamke (natumia mwanamke ili kujazia umri wowote ule) unaambiwa unamnyanyasa au umemdhalilisha na kuna maneno mengi yanayotengenezwa na kuhalalishwa ilimradi tu mwanaume ufungwe.
Hawa ndugu zetu hata akikunyima unyumba maana yake utulie tu ukae kimya, akikupiga ukimrudishia ataenda polisi kukushtaki kuwa ulimpiga basi una kesi ya kujibu, nasikia wapo baadhi ya wanaume wanapigwa ndani ila hawawezi kwenda kushtaki kisa wanaona aibu, nasikia wengine wanafanyishwa kazi za ndani kwa lazima na kunyimwa chakula wanaogopa kushtaki dawati kuwa wana nyanyaswa eti ni aibu kwa mwanaume kulalamika. Sasa tunakokwenda sio. Mwanamke ATAKUTUKANA unakaa kimya hutaki kumshtaki sasa subiri wewe ushtakiwe.
Kuna mdada flani ameolewa kwa taarifa za haraka haraka nasikia amezoea KUMTUSI mumewe na kumfanyia mengi huko ndani kwao yeye akafikiri na kwangu atafanya hivyo hivyo, siku moja nilikuwa naongea na jamaa flan miezi 4 imeisha, nikamshauri kitu kizuri tu kumbe huyu mdada alikuwa jirani na tulipokaa akasikia, si akaanza kunirushia matusi eti kwanini namuelekeza jamaa eti ningemuacha abaki kuwa bwege, dah sisi wameru hatudharauliki na wasichana bhana, makabila mengine naona wanaonewa tu njenje kama ilivyo bahati na sibu ya TATU MZUKA, nilichofikiria ni kumpa kibano ila badae nikajistukia kuwa huyu anaweza akafa au akaumia vibaya nitaishia jela cha msingi nilicho kifanya huwezi amini, nilijitahidi sana kuizuia hasira yangu ishuke.
Siku iyo iyo nilienda kituo cha polisi kumshtaki nikafungua kesi basi hii ndio ilikuwa dawa, maana alipokuwa anachukuliwa maelezo aliulizwa je, aliye kushtaki alikutukana au alikufanyie lolote (nikajua huyu anataka kupendelewa hapa ili niwekwe lopango) hamad, akasema hamna basi nikawa nimepata ushindi wa kumpandisha kizimbani. Msamaha ulioombwa hapo dah hadi wazazi wa binti basi tokea hapo ni heshima na adabu, ila kwa mumewake ndani huko sijui kukoje. HUENDA BADO KUNA MOTO
Ukimpiga mwanamke (natumia mwanamke ili kujazia umri wowote ule) unaambiwa unamnyanyasa au umemdhalilisha na kuna maneno mengi yanayotengenezwa na kuhalalishwa ilimradi tu mwanaume ufungwe.
Hawa ndugu zetu hata akikunyima unyumba maana yake utulie tu ukae kimya, akikupiga ukimrudishia ataenda polisi kukushtaki kuwa ulimpiga basi una kesi ya kujibu, nasikia wapo baadhi ya wanaume wanapigwa ndani ila hawawezi kwenda kushtaki kisa wanaona aibu, nasikia wengine wanafanyishwa kazi za ndani kwa lazima na kunyimwa chakula wanaogopa kushtaki dawati kuwa wana nyanyaswa eti ni aibu kwa mwanaume kulalamika. Sasa tunakokwenda sio. Mwanamke ATAKUTUKANA unakaa kimya hutaki kumshtaki sasa subiri wewe ushtakiwe.
Kuna mdada flani ameolewa kwa taarifa za haraka haraka nasikia amezoea KUMTUSI mumewe na kumfanyia mengi huko ndani kwao yeye akafikiri na kwangu atafanya hivyo hivyo, siku moja nilikuwa naongea na jamaa flan miezi 4 imeisha, nikamshauri kitu kizuri tu kumbe huyu mdada alikuwa jirani na tulipokaa akasikia, si akaanza kunirushia matusi eti kwanini namuelekeza jamaa eti ningemuacha abaki kuwa bwege, dah sisi wameru hatudharauliki na wasichana bhana, makabila mengine naona wanaonewa tu njenje kama ilivyo bahati na sibu ya TATU MZUKA, nilichofikiria ni kumpa kibano ila badae nikajistukia kuwa huyu anaweza akafa au akaumia vibaya nitaishia jela cha msingi nilicho kifanya huwezi amini, nilijitahidi sana kuizuia hasira yangu ishuke.
Siku iyo iyo nilienda kituo cha polisi kumshtaki nikafungua kesi basi hii ndio ilikuwa dawa, maana alipokuwa anachukuliwa maelezo aliulizwa je, aliye kushtaki alikutukana au alikufanyie lolote (nikajua huyu anataka kupendelewa hapa ili niwekwe lopango) hamad, akasema hamna basi nikawa nimepata ushindi wa kumpandisha kizimbani. Msamaha ulioombwa hapo dah hadi wazazi wa binti basi tokea hapo ni heshima na adabu, ila kwa mumewake ndani huko sijui kukoje. HUENDA BADO KUNA MOTO