Dawa ya UTI Sugu

Dawa ya UTI Sugu

ERTUGRUL BEY

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
11,529
Reaction score
21,530
Screenshot_20250618_210405_Google.jpg
Screenshot_20250618_210259_Google.jpg


Natoa Sadaka kwa maexpert wangu,mwenye kusumbuliwa na UTI Sugu achukue mahindi mabichi akatekate achanganye na limao lililo katwa katwa kisha achemshe

Ukipoa huo mchanganyiko aweke kwenye chupa kisha anywe,kwa siku kama mara mbili au tatu kwa masiku kadhaa,kwa uwezo wa Allah, shida itakuwa imeisha

Ushuhuda ni wa ndugu yangu ambaye alisumbuliwa sana na shida hiyo,akatumia ikawa historia

Ni hayo tu!
 
tuazie hapa nini chanzo cha U.T.I sugu...
Chanzo cha UTI sugu (maambukizi ya mkojo ya kurudia-rudia) kinaweza kuwa mchanganyiko wa sababu zifuatazo:

🔹 1. Kutokumaliza dozi ya dawa ipasavyo
Maambukizi hayawezi kuondoka kabisa, hivyo hurudi tena kwa nguvu.

🔹 2. Matumizi ya antibiotics kupita kiasi
Hupelekea bakteria kuwa sugu (antibiotic resistance).

🔹 3. Usafi hafifu wa sehemu za siri
Kama vile kufuta kutoka nyuma kwenda mbele, hasa kwa wanawake.

🔹 4. Kujamiiana bila kujisafisha vizuri
Huweza kusababisha kuingiza bakteria kwenye njia ya mkojo.

🔹 5. Kuwepo kwa matatizo ya kiafya
Kama kisukari, mawe kwenye figo, au kinga dhaifu ya mwili.

🔹 6. Kuzuia mkojo kwa muda mrefu
Huongeza uwezekano wa bakteria kuongezeka.

Ikiwa mtu anapata UTI mara kwa mara, ni vyema afanyiwe uchunguzi wa kina.
 
View attachment 3375234View attachment 3375237

Natoa Sadaka kwa maexpert wangu,mwenye kusumbuliwa na UTI Sugu achukue mahindi mabichi akatekate achanganye na limao lililo katwa katwa kisha achemshe

Ukipoa huo mchanganyiko aweke kwenye chupa kisha anywe,kwa siku kama mara mbili au tatu kwa masiku kadhaa,kwa uwezo wa Allah, shida itakuwa imeisha

Ushuhuda ni wa ndugu yangu ambaye alisumbuliwa sana na shida hiyo,akatumia ikawa historia

Ni hayo tu!
sijaelewa vizur mkuu
 
sijaelewa vizur mkuu
Hiyo ni dawa ya UTI sugu, kwa ambaye anasumbuliwa sana au inamrudia mara kwa mara,basi achukue mahindi mabichi akate vipande pamoja na bunzi lake,mathalani mhindi mmoja waeza kata vipande vitatu au vinne

Kisha unakata na limao vipande kadhaa,kisha unachemsha kwa pamoja,kwa maana mahindi na limao,kisha maji yake ndio unakunywa na ndio dawa,waeza kunywa mara mbili kwa siku,kwa wastani wa siku nne au tano hivi
 
Hiyo ni dawa ya UTI sugu, kwa ambaye anasumbuliwa sana au inamrudia mara kwa mara,basi achukue mahindi mabichi akate vipande pamoja na bunzi lake,mathalani mhindi mmoja waeza kata vipande vitatu au vinne

Kisha unakata na limao vipande kadhaa,kisha unachemsha kwa pamoja,kwa maana mahindi na limao,kisha maji yake ndio unakunywa na ndio dawa,waeza kunywa mara mbili kwa siku,kwa wastani wa siku nne au tano hivi
asante sana mkuu
 
Hiyo ni dawa ya UTI sugu, kwa ambaye anasumbuliwa sana au inamrudia mara kwa mara,basi achukue mahindi mabichi akate vipande pamoja na bunzi lake,mathalani mhindi mmoja waeza kata vipande vitatu au vinne

Kisha unakata na limao vipande kadhaa,kisha unachemsha kwa pamoja,kwa maana mahindi na limao,kisha maji yake ndio unakunywa na ndio dawa,waeza kunywa mara mbili kwa siku,kwa wastani wa siku nne au tano hivi
Limao ukate pamoja na ganda lake
 
Chanzo cha UTI sugu (maambukizi ya mkojo ya kurudia-rudia) kinaweza kuwa mchanganyiko wa sababu zifuatazo:

🔹 1. Kutokumaliza dozi ya dawa ipasavyo
Maambukizi hayawezi kuondoka kabisa, hivyo hurudi tena kwa nguvu.

🔹 2. Matumizi ya antibiotics kupita kiasi
Hupelekea bakteria kuwa sugu (antibiotic resistance).

🔹 3. Usafi hafifu wa sehemu za siri
Kama vile kufuta kutoka nyuma kwenda mbele, hasa kwa wanawake.

🔹 4. Kujamiiana bila kujisafisha vizuri
Huweza kusababisha kuingiza bakteria kwenye njia ya mkojo.

🔹 5. Kuwepo kwa matatizo ya kiafya
Kama kisukari, mawe kwenye figo, au kinga dhaifu ya mwili.

🔹 6. Kuzuia mkojo kwa muda mrefu
Huongeza uwezekano wa bakteria kuongezeka.

Ikiwa mtu anapata UTI mara kwa mara, ni vyema afanyiwe uchunguzi wa kina.
Duh! Ugonjwa wa Kisukar kinasababisha U.T.I😀😂😀😂 Hawa Madaktar watatuu
 
Back
Top Bottom