Dawa ya unyumba

Habari wana jf,ngoja leo niwape dawa itakayodumisha ndoa yako na hiyo si nyingine bali ni tangawizi.Tangawizi ni moja ya chakula kinachokurejeshea uwezo wako kiume kwa kukuongezea nguvu za kiume.Namna:Shortly twanga tangawizi na ichemshe na unywe kama chai asubuhi,mchana na jioni.Vilevile unaweza kutumia tangawizi katika mchanyiko kiasili kwa kutumia unga wa habat soda,asali,kitunguu saumu na tangawizi yenyewe.Twanga kwa pamoja kitunguu saumu na tangawizi kisha changanya na asali pamoja na unga wa habat soda(stir them together to mix throughout).kunywa mchanyiko hut kwa kutumia kijiko cha chai kutwa mara tatu kwa muda wa wiki moja,utaona mabadili
Tangawizi ya unga inafaa??

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom