Dawa ya UKAWA ni lowassa peke yake.

Dawa ya UKAWA ni lowassa peke yake.

Tangu jana leno lowassa halikosekani mdomo mwa mana-ukawa kila saa lowassa...lowassa.Wengi watapata ukichaa october...Nanukuu kingunge Tutakwenda mpaka kieleweke...NA BADO HII RAUNDI ONE

Wewe hujasikia yaliyojiri huko Dodoma, kauli yako inaweza kubadilika na kuwa dawa ya hao wote waliokwisha tangaza nia ni Mwigulu, na kesho kauli inaweza kubadilika tena. Bado mapema tuwape muda kwa sababu katika wale wote waliotangaza nia bila kujali umaarufu wa kila mmoja wao mwisho wa siku atatakiwa atabaki mmoja, upo hapo
 
Wewe hujasikia yaliyojiri huko Dodoma, kauli yako inaweza kubadilika na kuwa dawa ya hao wote waliokwisha tangaza nia ni Mwigulu, na kesho kauli inaweza kubadilika tena. Bado mapema tuwape muda kwa sababu katika wale wote waliotangaza nia bila kujali umaarufu wa kila mmoja wao mwisho wa siku atatakiwa atabaki mmoja, upo hapo

nipo asante kwa taarifa
 
Tangu jana leno lowassa halikosekani mdomo mwa mwana-ukawa kila saa lowassa...lowassa.Wengi watapata ukichaa october...Nanukuu kingunge Tutakwenda mpaka kieleweke...NA BADO HII RAUNDI ONE

Tunamsubiri aingike katikati tu tumripue kwa Richmond data zote zipo lazima Urais umtokee puani, tutakwenda nyumba hadi nyumba kuonyesha Lowassa alivyohusika kwenye Richmond.
 
Tangu jana leno lowassa halikosekani mdomo mwa mwana-ukawa kila saa lowassa...lowassa.Wengi watapata ukichaa october...Nanukuu kingunge Tutakwenda mpaka kieleweke...NA BADO HII RAUNDI ONE
Rudia tena leo baada ya wengine kujitokeza uone kama hakuliwa tu pesa. Hata dagaa hakatai chambo ila kumvua kwa ndoano ni kazi kwelikweli
 
Back
Top Bottom