Ingia kwenye hii linkHabari za muda wapendwa!
Nasikia kuna apps ambazo zinaweza kutumika ku-detect mahali ambapo kuna tochi za wale kunguru weupe wamejificha. Wakati unaendesha gari lako kupitia simu yako, inakupa alert umbali ambapo hao jamaa wapo. Hebu tusaidiane kwa wenye uzoefu na hili
Kunguru mwenyewe na ujinga wako na hakuna app kama hiyo.Habari za muda wapendwa!
Nasikia kuna apps ambazo zinaweza kutumika ku-detect mahali ambapo kuna tochi za wale kunguru weupe wamejificha. Wakati unaendesha gari lako kupitia simu yako, inakupa alert umbali ambapo hao jamaa wapo. Hebu tusaidiane kwa wenye uzoefu na hili
Dawa ni kuendesha speed ndogo. Nimegundua baada ya hawa jamaa kuja na hizi tochi ajali hasa za mijini zimepungua sana, watu walikuwa wanagogwa hata kwenye zebra cross. Mtu unakuta haendi mbali wala hana uharaka wowote lakini kachochea mafuta hadi mwisho. Hawa wajamaa waongeze idadi ya tochi hasa mijini na waondoe matuta kwa ni tochi zinatosha.
application zipo kibao google utaziona .tatizo hatujawekeza kwenye ubunifu ,tungebuni hizi app.wenyewe tuuze wenyewe tutunze codes zetu wenyewe ,tunazidiwa kwa ubunifu unauziwa app hii kesho anabuni kinachopingana na kile ulichonunua na anauza kwa ku download tu ,hatuna budi kukubaliana na teeknologia inavyokwenda ,tujaribu kukimbia tusiachwe.Habari za muda wapendwa!
Nasikia kuna apps ambazo zinaweza kutumika ku-detect mahali ambapo kuna tochi za wale kunguru weupe wamejificha. Wakati unaendesha gari lako kupitia simu yako, inakupa alert umbali ambapo hao jamaa wapo. Hebu tusaidiane kwa wenye uzoefu na hili
Tumia basi uone na hapo ndiyo utajua kua wewe ndiyo mshamba.Ushamba wa pili ni wewe kupenda kuvunja Sheria ambazo zipo ili kukulinda wewe na watumiaji wengine wa barabara ili usipate madhara.Kweli ushamba ni mzigo, Do you know the relationship between the device (handset) and saltellite?
Watu tunaitumia hiyo mkuu na inafanya kazi vizuri sana maana inakupa route nzima na idadi ya camera zilizopo njian hadi unapo ishia na distance zilipo zote toka ulipo wewe na gari,tena inafanya vyema tu mkuu bila shida , tena hata kama speed meter ya gari yako mbovu na haisomi yenyewe inakuonesha speed unayo tembea exactly.Tumia basi uone na hapo ndiyo utajua kua wewe ndiyo mshamba.Ushamba wa pili ni wewe kupenda kuvunja Sheria ambazo zipo ili kukulinda wewe na watumiaji wengine wa barabara ili usipate madhara.
Ni kweli uko Sawa kabisa...ajaribu athibitishe...kila sehemu inayotakiwa kuwa na speed limit huwa inaonekana na wapi kuna camera pia unaonaWatu tunaitumia hiyo mkuu na inafanya kazi vizuri sana maana inakupa route nzima na idadi ya camera zilizopo njian hadi unapo ishia na distance zilipo zote toka ulipo wewe na gari,tena inafanya vyema tu mkuu bila shida , tena hata kama speed meter ya gari yako mbovu na haisomi yenyewe inakuonesha speed unayo tembea exactly.
Mwambie pia hata kama ni sehemu huifahamu unaiseti inakupa ramani unafika salama,pia inakuonyesha sehemu gani kuna traffic jam au ajali inategemea na wewe unavyoitumiaWatu tunaitumia hiyo mkuu na inafanya kazi vizuri sana maana inakupa route nzima na idadi ya camera zilizopo njian hadi unapo ishia na distance zilipo zote toka ulipo wewe na gari,tena inafanya vyema tu mkuu bila shida , tena hata kama speed meter ya gari yako mbovu na haisomi yenyewe inakuonesha speed unayo tembea exactly.
We traffic police wewe si bure..Tumia basi uone na hapo ndiyo utajua kua wewe ndiyo mshamba.Ushamba wa pili ni wewe kupenda kuvunja Sheria ambazo zipo ili kukulinda wewe na watumiaji wengine wa barabara ili usipate madhara.