Zingine sina uwezo nazo ila namba 1na namba 4.ukiwa na stress
1. sikiliza muziki mzuri unasaidia kupunguza mawazo
2. Jichanganye usikae peke yako mfano. nenda kutazama mpira, kijiwe cha draft, etc
3. faya mazoezi ya viungo na rafiki
4. tazama au sikiliza comedy huwa zinasaidia kurudisha mood
5. Nenda vacation kama unahela inasaidia kupumzisha akili
Mwisho japo sio kwa umuhimu kubaliana na hali halisi iliyokutokea kama ni kupata hasara, kuachwa na mchumba, kufukuzwa kazi n.k maana usipokubaliana na hali halisi itakuwa kama unatwanga maji kwenye kinu
Soma hiiJe ushawahi kupatwa na Stress.?
Hivi ukiwa na stress huwa unafanya nini? Au unafanyeje?
Kama Pombe hunywi au hautaki kunywa.
Na usingizi hupati.(insomnia)
Unafanyeje ili kuondokana nazo.?
Ulifanyeje kuondokana nazo?
NB! Stress ni mbaya,
zinachangia kushusha kinga ya mwili,
zinachangia kuongeza sukari mwilini.( Mbaya kwa mtu wa kisukari)
Zinachangia vidonda vya tumbo.
Zinasababisha mtu kunenepa
Zinapelekea Depression.
nk....
Na mbaya zaidi mtu aweza kujaribu kujitoa uhai ( Suicidal attempt)
Unanenepa vibaya mnoUwe na stress alafu unenepe?