Dawa ya stress ni nini?

Dawa ya stress ni nini?

Pole sana, fanya lililo ndani ya uwezo wako, mengine achana nayo...
 
ukiwa na stress
1. sikiliza muziki mzuri unasaidia kupunguza mawazo
2. Jichanganye usikae peke yako mfano. nenda kutazama mpira, kijiwe cha draft, etc
3. faya mazoezi ya viungo na rafiki
4. tazama au sikiliza comedy huwa zinasaidia kurudisha mood
5. Nenda vacation kama unahela inasaidia kupumzisha akili

Mwisho japo sio kwa umuhimu kubaliana na hali halisi iliyokutokea kama ni kupata hasara, kuachwa na mchumba, kufukuzwa kazi n.k maana usipokubaliana na hali halisi itakuwa kama unatwanga maji kwenye kinu
Zingine sina uwezo nazo ila namba 1na namba 4.

Kwamfano kwasasa toka juzi nakula ngoma yangu BUGA kizz daniel ft Tekno

Nikichoka naingia utube namchek jamaa yangu chizi MKOJANI aahhh basi stress zinajikuta zinakaa mbal kabisaa na mimi
Carleen na Eyce mko wapi leo!?😎
 
Je ushawahi kupatwa na Stress.?

Hivi ukiwa na stress huwa unafanya nini? Au unafanyeje?

Kama Pombe hunywi au hautaki kunywa.
Na usingizi hupati.(insomnia)
Unafanyeje ili kuondokana nazo.?


Ulifanyeje kuondokana nazo?



NB! Stress ni mbaya,
zinachangia kushusha kinga ya mwili,
zinachangia kuongeza sukari mwilini.( Mbaya kwa mtu wa kisukari)
Zinachangia vidonda vya tumbo.
Zinasababisha mtu kunenepa

Zinapelekea Depression.
nk....

Na mbaya zaidi mtu aweza kujaribu kujitoa uhai ( Suicidal attempt)
Soma hii


 
Chijanganye kwenye makundi ya watu kwa kupiga story. Nakushauri pombe si njia ya kukusahaulisha eti usiwe unawaza juu ya jambo linalosumbua akili yako.
 
Mrudie Mungu hakuna cha muziki wala nn ukilifahamu Hilo utaishi Kwa Raha mustarehe ukiamini kila Jena na baya linatoka Kwa Mungu bc yote utasahau maana yy ndio mpangaji
 
Ukiwa na stress ongeza stress nyingine, dawa ya stress ni stress
 
Back
Top Bottom