Dawa ya nguvu za kiume hii hapa

Dawa ya nguvu za kiume hii hapa

Singida ndio home

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
3,188
Reaction score
3,378
Kila kukicha malalamiko kuhusu nguvu za kiume yamekuwa yakiongezeka, kundi kubwa la hawa watu wamekuwa ni wanaume wa mjini, hii ni kutokana na kwamba wanaume wengi wa mjini ni wabishi kufata hali halisi ya kuwa mwanaume inabidi awe ngangari, mwanaume unakuta anakula chipsi mayai eti ndo unajisifu unakula chakula kizuri.

Mwanaume hufanyi zoezi hata mara moja kwa wiki ni kero, mwanaume unafunga bao moja kwa kwa dakika 5 afu ukimakiza unakoroma utafkiri hadi asubuhi maskini mwanamke wa watu ndo hata hujawahi kumfikisha hivi unafkiri hatachepuka.

Kiufupi hapo mke wako atafanya chochote apate mwingine ambaye yupo fiti, hii dawa ni korodani za jogoo wa kienyeji aliyekomaa sasa kuna njia mbili ya kwanza sio nyepesi ila ndio inafanya kazi sana cha kufanya mchinje jogoo na ule korodani mbichi moja nzima na nyingine uile usiku kwa wiki mara moja.

Nyepesi ambayo haina effect sana ni kuzichoma na kuzikausha juani zikiwa ngumu unasaga unalamba unga huo hili zoezi la kulamba ni kila asubuhi ukiona huwezi au inatia kinyaa acha
 
Bila shaka utakuwa unabiashara ya majogoo mkuu..
Kazi kwao!!
 
Mkuu utapandisha bei jogoo wauzwe elfu 50.
 
Fursa hii...

Jamani nauza majogoo yaliyokomaa tayari kwa kuvunwa korodani...
 
Hayo makorodani kuyapata ndio kazi maana sijawai kuyaona japokua nachinjaga pia
 
ndiyo wapi tena huko?


labda kichekesho aisee

A rooster (jogoo) has only two testicles located within the abdominal cavite near the top of the kidneys and towards the spinal cord, ukimpasua jogoo utaona vizuri sana. Tumbukia kwa mwalimu google ujionee

Waelekezeni na wanenu namna ya kukata kuku.....wajifunze sayansikimu.

Ila sina hakika na maoni ya mtoa mada, wengine watafafanua.
 
A rooster (jogoo) has only two testicles located within the abdominal cavite near the top of the kidneys and towards the spinal cord, ukimpasua jogoo utaona vizuri sana. Tumbukia kwa mwalimu google ujionee

Waelekezeni na wanenu namna ya kukata kuku.....wajifunze sayansikimu.

Ila sina hakika na maoni ya mtoa mada, wengine watafafanua.

aisee hapo umeniacha kariakoo mtaa wa kongo
 
Back
Top Bottom