Habari wadau kwa kipindi kirefu nimekua nikisikia habari ya mwaroini kua unatibu magonjwa zaidi ya 40 nilicho taka kujua magonjwa hayo ni yepi na yanatibika kwa muda gani pia madhara ya matumizi ya mwarobaini ni yepi mwenye kujua tafadhari anijuze
Asante am addicted nakula sana vijiti vya muarobaini kiasi kwamba baadhi ya watu hufukiri nakula mrungi.muarobaini unatibu
arengi, homa, fangasi,moyo
Shinikizo la damu, sukari
Athari ya kutumia muarobaini bila ya ushauri wa daktari unaweza kuhalibu ini lako..