Ni kweli kabisa.Dawa nyingi za kuondoa mvi huwa zinazidisha hilo tatizo.....
Wanajamvi naomba kufahamu sababu zinazosababisha mtu kuota mvi katika umri mdogo. je kuna dawa ya kuondoa tatizo hilo?
Mwenyewe nina nyingi mpaka naogopa
Haina dawa mkuu..ziache tu...mvi na kutoka KIPARA BORA NN?ziache tu..Habari,
Mi ni kijana, ninayefanya kazi katika kampuni yangu binafsi,
Sina umri mkubwa ila nimeanzaa kuota mvi kwa mbali toka npo chuo,
Ila naona kwa ss znaanza kuongezeka,
Naomba ushauri wenu ili miweze kizidhiti,
Kwani sizipendi na zinanifanya niwe nanyoa nywele mara kwa mara..
Maoni yenu tafadhali.
Superblack si zinaharibu nywele?The only available solution to your problem ni kunyoa zote uwe kipara au paka zile vitu zinafanya nywele kua nyeusi
Ha ha ha,Superblack si zinaharibu nywele?
Atanyoaje nywele zote km ana chogo?