Dawa ya mke asiye na adabu

Dawa ya mke asiye na adabu

ubongokid

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
2,265
Reaction score
4,452
Wamama wa siku hizi wameshindwa kabisa kufundisha watoto wao wa kike kuheshimu waume zao.Unakuta binti kwa sababu umemuoa naameshakuzalia watoto na tayari ashakuzoea basi anakukosea heshima.

Sasa kwa kawaida kuna mambo kadhaaa ambayo ni kero katika mapenzi hasa kutoka kwa mke.
  1. Kwanza ni kitendo cha mke kumpandishia mume sauti ama in private au in public haijalishi ni kuhusu swala gani
  2. Pili ni kitendo cha mke kumpandishi mtu mwingine mke/mume mbele ya mume wake
  3. Tatu ni mke kutafuta neno lolote la matusi au kashfa mbele ya mume mbele ya watu au in private
  4. Nne ni mkwe kumkwida mume wake,au kulia kwa sauti mpaka majirani wasikie wakati wakigombana na mume wake
Haya hapo juu pamoja na mengine ni kero kubwa sana na mwanake akileta tabia kama hiyo adhabu yake ni moja kati ya zifuatazo:
  1. Kuoa mke mwingine na kukaa huko mpaka ama aje kudai matunzo ya mtoto au akuombe urudi nyumbani
  2. Iwapo asipokuomba urudi kurudi nyumbani au kudai matumizi basi unahakikisha huyo mwanamke mwingine anakuzalia mtoto kisha ndo unarudi nyumbani kwako.

Hakuna dawa nyingine ya mwanamke ambaye hajafundishwa unyenyekevu na mama yake zaidi ya hiyo

Tujadili
 
Sitarajii kumfanyia hvy mume wangu Ila incase nimemkwaza na akaamua kufanya hvy

Aisee ndo nitampenda zaid maana natamani awe na mtu mwingine wa kunisaidia wa halali ninayemjua wa vichochoroni wanakera sana
 
Yes, dawa ya kiburi ni jeuri.
 
Kuna vitu ni rahisi sana kuviandika ila vikija kwenye uhalisia hata kama ni ndoa basi haitakuwa na maana tena.

Halafu pia niseme heshima iwe kwa wote na sio upande mmoja tu ndio utake kufanyiwa mazuri wakati upande wa shilingi wao ndio wanaongoza kwa hizo kauli mbovu.
 
Kuna wanawake wa aina nyingi:
1. Wapo wanawake special wa kuoa

2. Kuna wanawake special kwaajili ya michepuko

3. Kuna wanawake special kwaajili ya umalaya

4. Kuna wanawake special kwaajili ya kujiuza/machangudoa

Watu wanakosea mke sasa wa kuoa na kuangukia kwenye makundi mengine ndiyo chanzo cha migogoro kwenye ndoa isiyo isha
 
Kuna vitu ni rahisi sana kuviandika ila vikija kwenye uhalisia hata kama ni ndoa basi haitakuwa na maana tena.

Halafu pia niseme heshima iwe kwa wote na sio upande mmoja tu ndio utake kufanyiwa mazuri wakati upande wa shilingi wao ndio wanaongoza kwa hizo kauli mbovu.
Nimekumiss jamn
 
Back
Top Bottom