Erick Kalemela
R I P
- Nov 19, 2017
- 814
- 1,026
Kumekuwa na tatizo la watu kutoa harufu miguuni baada kuvua viatu
Leo nimeamua kuwafundisha dawa ya tatizo hili bila gharama yoyote.
Najua kuna wengine wanajua baadhi ya dawa nashauri watumie uzi huu kuelekeza watu hii yote nikuifanya Jamii yetu kuwa salama zaidi.
Mahitaji:
Maji
Limao
Chumvi.
Jinsi ya kuandaa.
Weka maji robo kikombe
Kisha weka chumvi nusu kijiko (chumvi yoyote)
Baada ya hapo kamulia Limao moja na uchanganye,paka mchanyiko huo miguuni.
Kama tatizo ni sugu fanya hivyo kila siku asubuhi na jioni kwa mda wa siku sita tatizo litakuwa limeisha,kama tatizo sio sugu paka asubuhi na jioni kwa mda wa siku tatu tatizo litakuwa limeisha.
Baada ya kutumia msisahau kuja kuleta mrejesho.
N. B Miguu kunuka kisababishi kikubwa huwa ni fangasi, japokuwa zipo sababu zingine
Kwa hiyo dawa hii inamaliza tatizo.
Leo nimeamua kuwafundisha dawa ya tatizo hili bila gharama yoyote.
Najua kuna wengine wanajua baadhi ya dawa nashauri watumie uzi huu kuelekeza watu hii yote nikuifanya Jamii yetu kuwa salama zaidi.
Mahitaji:
Maji
Limao
Chumvi.
Jinsi ya kuandaa.
Weka maji robo kikombe
Kisha weka chumvi nusu kijiko (chumvi yoyote)
Baada ya hapo kamulia Limao moja na uchanganye,paka mchanyiko huo miguuni.
Kama tatizo ni sugu fanya hivyo kila siku asubuhi na jioni kwa mda wa siku sita tatizo litakuwa limeisha,kama tatizo sio sugu paka asubuhi na jioni kwa mda wa siku tatu tatizo litakuwa limeisha.
Baada ya kutumia msisahau kuja kuleta mrejesho.
N. B Miguu kunuka kisababishi kikubwa huwa ni fangasi, japokuwa zipo sababu zingine
Kwa hiyo dawa hii inamaliza tatizo.



🦽
