Dawa ya Miguu kunuka Andaa mwenyewe popote ulipo

Dawa ya Miguu kunuka Andaa mwenyewe popote ulipo

Joined
Nov 19, 2017
Posts
814
Reaction score
1,026
Kumekuwa na tatizo la watu kutoa harufu miguuni baada kuvua viatu
Leo nimeamua kuwafundisha dawa ya tatizo hili bila gharama yoyote.
Najua kuna wengine wanajua baadhi ya dawa nashauri watumie uzi huu kuelekeza watu hii yote nikuifanya Jamii yetu kuwa salama zaidi.

Mahitaji:
Maji
Limao
Chumvi.

Jinsi ya kuandaa.
Weka maji robo kikombe
Kisha weka chumvi nusu kijiko (chumvi yoyote)
Baada ya hapo kamulia Limao moja na uchanganye,paka mchanyiko huo miguuni.
Kama tatizo ni sugu fanya hivyo kila siku asubuhi na jioni kwa mda wa siku sita tatizo litakuwa limeisha,kama tatizo sio sugu paka asubuhi na jioni kwa mda wa siku tatu tatizo litakuwa limeisha.
Baada ya kutumia msisahau kuja kuleta mrejesho.

N. B Miguu kunuka kisababishi kikubwa huwa ni fangasi, japokuwa zipo sababu zingine
Kwa hiyo dawa hii inamaliza tatizo.
 
Kumekuwa na tatizo la watu kutoa harufu miguuni baada kuvua viatu
Leo nimeamua kuwafundisha dawa ya tatizo hili bila gharama yoyote.
Najua kuna wengine wanajua baadhi ya dawa nashauri watumie uzi huu kuelekeza watu hii yote nikuifanya Jamii yetu kuwa salama zaidi.

Mahitaji:
Maji
Limao
Chumvi.

Jinsi ya kuandaa.
Weka maji robo kikombe
Kisha weka chumvi nusu kijiko (chumvi yoyote)
Baada ya hapo kamulia Limao moja na uchanganye,paka mchanyiko huo miguuni.
Kama tatizo ni sugu fanya hivyo kila siku asubuhi na jioni kwa mda wa siku sita tatizo litakuwa limeisha,kama tatizo sio sugu paka asubuhi na jioni kwa mda wa siku tatu tatizo litakuwa limeisha.
Baada ya kutumia msisahau kuja kuleta mrejesho.
Mkuu naomba ya fungus please.Naumia sana
 
Kumekuwa na tatizo la watu kutoa harufu miguuni baada kuvua viatu
Leo nimeamua kuwafundisha dawa ya tatizo hili bila gharama yoyote.
Najua kuna wengine wanajua baadhi ya dawa nashauri watumie uzi huu kuelekeza watu hii yote nikuifanya Jamii yetu kuwa salama zaidi.

Mahitaji:
Maji
Limao
Chumvi.

Jinsi ya kuandaa.
Weka maji robo kikombe
Kisha weka chumvi nusu kijiko (chumvi yoyote)
Baada ya hapo kamulia Limao moja na uchanganye,paka mchanyiko huo miguuni.
Kama tatizo ni sugu fanya hivyo kila siku asubuhi na jioni kwa mda wa siku sita tatizo litakuwa limeisha,kama tatizo sio sugu paka asubuhi na jioni kwa mda wa siku tatu tatizo litakuwa limeisha.
Baada ya kutumia msisahau kuja kuleta mrejesho.

N. B Miguu kunuka kisababishi kikubwa huwa ni fangasi, japokuwa zipo sababu zingine
Kwa hiyo dawa hii inamaliza tatizo.
ya kunuka mdomo je
 
Kuongezea alipoishia mkuu

Suala la kunuka miguu wakati mwingine tunaweza kusingizia fungus kumbe ni uchafu tu binafsi, hivyo jiridhishe chanzo kwako ni uchafu au fungus.

1. Unavaa soks pair 1, cku 3 na muendelea hujafua unashinda unatembea lazima miguu inuke.

2. Aina ya soksi unazovaa, soksi nyingi za dukani zimetengenezwa kwa aina ya vitambaa visivyoweza kunyonya maji maji au jasho na zenyewe huchangia sana harufu miguuni.

Jiulize baadhi ya soksi za mitumba ni 2k wakati za dukani mpaka pair 3 kwa buku 2.


3. Aina ya viatu, hili pia ni tatizo kuna baadhi ya viatu huzalisha sana joto na kutengeneza unyenyevu miguuni so huchangia hali hii.

4. Kuvaa soksi miguu ikiwa haijakauka vzr hususani katikati ya vidole vya miguu, Kausha miguu na taulo ndiyo uvae.

USHAURI.

1.Jitahidi uwe na soksi pair za kutosha kama wewe ni mvivu wa kufua.

2. Usivae soksi zaidi ya mara 2 bila kufua.

3. Safisha viatu na uhakikishe ndani hakuna uchafu.

4. Kausha miguu vzr kabla ya kuvaa soksi.

NB.
UKIONA MTU KAVAA SOKSI ILIYOTOBOKA JUWA NA NGUO YA NDANI KUNA UWEZEKANO MKUBWA IMETOBOKA PIA.
 
Kuongezea alipoishia mkuu

Suala la kunuka miguu wakati mwingine tunaweza kusingizia fungus kumbe ni uchafu tu binafsi, hivyo jiridhishe chanzo kwako ni uchafu au fungus.

1. Unavaa soks pair 1, cku 3 na muendelea hujafua unashinda unatembea lazima miguu inuke.

2. Aina ya soksi unazovaa, soksi nyingi za dukani zimetengenezwa kwa aina ya vitambaa visivyoweza kunyonya maji maji au jasho na zenyewe huchangia sana harufu miguuni.

Jiulize baadhi ya soksi za mitumba ni 2k wakati za dukani mpaka pair 3 kwa buku 2.


3. Aina ya viatu, hili pia ni tatizo kuna baadhi ya viatu huzalisha sana joto na kutengeneza unyenyevu miguuni so huchangia hali hii.

4. Kuvaa soksi miguu ikiwa haijakauka vzr hususani katikati ya vidole vya miguu, Kausha miguu na taulo ndiyo uvae.

USHAURI.

1.Jitahidi uwe na soksi pair za kutosha kama wewe ni mvivu wa kufua.

2. Usivae soksi zaidi ya mara 2 bila kufua.

3. Safisha viatu na uhakikishe ndani hakuna uchafu.

4. Kausha miguu vzr kabla ya kuvaa soksi.

NB.
UKIONA MTU KAVAA SOKSI ILIYOTOBOKA JUWA NA NGUO YA NDANI KUNA UWEZEKANO MKUBWA IMETOBOKA PIA.
Sawa kabisa..
 
Siyo mbwa tu hata ukienda beach mawimbi upande wako yanakuwa na nguvu zaidi yanahisi umeenda sucide mission.

Hata ukipewa papuchi unapewa na masharti kuwa wazungu mwaga nje.

Kikao cha familia kinaweza kuwa kinaendelea wewe unaambiwa kakaribishe watu nje. kisa tu huna pesa.

Ndoto za ucku hubadilika mara unakimbizwa, mara unaanguka shimoni,,mara umekabwa yaani ilimradi tu ukose raha.


Hata huilizwi unakunywa soda gani, unaona tu fanta orange umeletewa.

KUKOSA PESA NI TATIZO SANA MKUU
Hivi kwanini ukikosa hela kila kitu kibaya kinakuja kwako? Hata mbwa wa mtaani watakubwekea na hawana hata tabia za kubwekea watu hovyo.
 
Siyo mbwa tu hata ukienda beach mawimbi upande wako yanakuwa na nguvu zaidi yanahisi umeenda sucide mission.

Hata ukipewa papuchi unapewa na masharti kuwa wazungu mwaga nje.

Kikao cha familia kinaweza kuwa kinaendelea wewe unaambiwa kakaribishe watu nje. kisa tu huna pesa.

Ndoto za ucku hubadilika mara unakimbizwa, mara unaanguka shimoni,,mara umekabwa yaani ilimradi tu ukose raha.


Hata huilizwi unakunywa soda gani, unaona tu fanta orange umeletewa.

KUKOSA PESA NI TATIZO SANA MKUU
Mkuu umeua
 
Ahsante kwa nyongeza yako
Imekaa vizuri
Sio kila anayenuka miguu ana fangasi wengine ni uchafu tu.
Kuongezea alipoishia mkuu

Suala la kunuka miguu wakati mwingine tunaweza kusingizia fungus kumbe ni uchafu tu binafsi, hivyo jiridhishe chanzo kwako ni uchafu au fungus.

1. Unavaa soks pair 1, cku 3 na muendelea hujafua unashinda unatembea lazima miguu inuke.

2. Aina ya soksi unazovaa, soksi nyingi za dukani zimetengenezwa kwa aina ya vitambaa visivyoweza kunyonya maji maji au jasho na zenyewe huchangia sana harufu miguuni.

Jiulize baadhi ya soksi za mitumba ni 2k wakati za dukani mpaka pair 3 kwa buku 2.


3. Aina ya viatu, hili pia ni tatizo kuna baadhi ya viatu huzalisha sana joto na kutengeneza unyenyevu miguuni so huchangia hali hii.

4. Kuvaa soksi miguu ikiwa haijakauka vzr hususani katikati ya vidole vya miguu, Kausha miguu na taulo ndiyo uvae.

USHAURI.

1.Jitahidi uwe na soksi pair za kutosha kama wewe ni mvivu wa kufua.

2. Usivae soksi zaidi ya mara 2 bila kufua.

3. Safisha viatu na uhakikishe ndani hakuna uchafu.

4. Kausha miguu vzr kabla ya kuvaa soksi.

NB.
UKIONA MTU KAVAA SOKSI ILIYOTOBOKA JUWA NA NGUO YA NDANI KUNA UWEZEKANO MKUBWA IMETOBOKA PIA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom