Dawa Ya Mchungaji Ambilikile Mwasapile a.k.a Babu. Je Ni Ulaghai?

Je, pia inawezekana aliambiwe atoe bure na kwa sababu ya hali ngumu ya maisha akaanza kutoza pesa na kudai Mungu alimwamuru na bei ya dawa zake?

tusijidangaye wapendwa, Mungu wa kweli haponyi namna hiyo ya samunge




hakuna aliyepona, sasa utapata wapi vyeti vinavyothibitisha uponyaji?

kweli jeshi lote lililoenda samunge hadi leo wakiwemo wanaJf wote hawa, tumekosa hata ushuhuda mmoja tu wa kuaminika? mbali na hadithi tu za fulani kapona?

Japo jua linawaka na kuna mwangaza lakini wapo wengi wetu wanaotembea gizani wanahitaji kurumzi..........
 
Muanzishaji mada anataka kujihakikishia kama watu wanapona kweli huko kwa babu. Wote wanaotoa majibu hapa na kubishana hakuna anayejibu shali. Mimi napenda kumpa changamoto aliyeanzisha mada kwamba hapa huwezi kupata jibu lolote lile ambalo unaweza kuridhika nalo.

Kila familia ina wagonjwa hivyo inakubidi wewe mwenyewe ufanye research - peleka mgonjwa ambaye unamfahamu akapate kikombe, akirudi utakuwa unamfuatilia kujua kama amepona kweli au la.

Wengi wanaokwenda kupata kikombe huwa hawatoi ushahidi kama wamepona au bado hawajapona kwa sababu wengi wanaenda kule kwa siri na wasingependa maradhi yao kufahamika. Sasa akisema mimi ni fulani nilikuwa naumwa kitu fulani atakuwa amejitangaza tayari.

Kuna watu mimi ndugu zangu wamepona, sitaweza kuwataja hapa kwani hawatapenda. Pia mtu akikupa ushuhuda kwamba aliumwa na baada ya kikombe cha babu amepona utaweza kuthibitisha hayo? Si rahisi kwa sababu humjui mtu huyo kama aliumwa kweli au anaongopa.

Ushauri mwingine wa kukuwezesha kuamini ni kwamba kuna kikundi ambacho kimejitangaza kinaishi na virusi vya ukimwi, tayari kimepelekwa kwa babu na kupata kikombe. Kilijitangaza kwenye TV kwa sababu viko vikundi hivi vinafahamika.

Wameahidi watakuwa wanatoa taarifa ya maendeleo yao baada ya kipindi fulani sikumbuki - hii ndiyo inaweza kuthibitisha kama watu wanapona au hawaponi. Kwa vile huumwi vuta subira utajihakikishia si muda mrefu.
 
Muanzishaji mada anataka kujihakikishia kama watu wanapona kweli huko kwa babu. Wote wanaotoa majibu hapa na kubishana hakuna anayejibu shali. Mimi napenda kumpa changamoto aliyeanzisha mada kwamba hapa huwezi kupata jibu lolote lile ambalo unaweza kuridhika nalo. Kila familia ina wagonjwa hivyo inakubidi wewe mwenyewe ufanye research - peleka mgonjwa ambaye unamfahamu akapate kikombe, akirudi utakuwa unamfuatilia kujua kama amepona kweli au la. Wengi wanaokwenda kupata kikombe huwa hawatoi ushahidi kama wamepona au bado hawajapona kwa sababu wengi wanaenda kule kwa siri na wasingependa maradhi yao kufahamika. Sasa akisema mimi ni fulani nilikuwa naumwa kitu fulani atakuwa amejitangaza tayari.

Kuna watu mimi ndugu zangu wamepona, sitaweza kuwataja hapa kwani hawatapenda. Pia mtu akikupa ushuhuda kwamba aliumwa na baada ya kikombe cha babu amepona utaweza kuthibitisha hayo? Si rahisi kwa sababu humjui mtu huyo kama aliumwa kweli au anaongopa.

Ushauri mwingine wa kukuwezesha kuamini ni kwamba kuna kikundi ambacho kimejitangaza kinaishi na virusi vya ukimwi, tayari kimepelekwa kwa babu na kupata kikombe. Kilijitangaza kwenye TV kwa sababu viko vikundi hivi vinafahamika. Wameahidi watakuwa wanatoa taarifa ya maendeleo yao baada ya kipindi fulani sikumbuki - hii ndiyo inaweza kuthibitisha kama watu wanapona au hawaponi. Kwa vile huumwi vuta subira utajihakikishia si muda mrefu.

Leo nimeconfirm dawa ya babu wa loliondo haiponeshi kwani kuna watu watatu nilikuwa nawafatilia kwa ukaribu kujua wamepona au la na leo nimepata taarifa za kitaalamu kuwa wote hawajapona in fact kuna mmoja ni mgonjwa wa ukimwi amezirai. Mie ni katika moja ya watu nilipinga masuala haya ya dawa za kiimani nikisema haingii akilini dawa lazima itolewe samunge kwa babu na yeye akupatie huo ni ujinga wa hali ya juu. Hawa mabwana wakaniambia wao wanajaribu wakipona watanitaarifu.

Nimefuatilia kwa ukaribu mmoja namfahamu alipima ukimwi muhimbili na mwengine Kinondoni na wa mwisho hospitali ya TMJ. Wote ni waathirika wa ukimwi na wanaishi na virusi. Nimefuatilia kwa ukaribu safari yao na kuwauliza wakafanikiwa kupata kikombe cha babu. Waliporudi wakawa wanaendelea na masharti na jana ndio wa mwisho amekamilisha masharti na ameenda kupima akakuta hakuna kitu.

In short wote wameendelea kuishi na virusi mwilini na mmoja aliacha dawa za ARVs amezidiwa na kuzirai na sasa hali yake mbaya. La kustaajabisha maaskofu kama kina Laizer wameisupport na kuifagilia hii dawa je tunaweza kuwauliza kama wanaturuhusu tufatilie medical records zao kujua walikuwa wanasumbuliwa na nini na baada ya kunywa hizo dawa wakapona? Vilevile kina mrema walioahidi kutoa majibu yao hadharani mbona mpaka sasa hawajasema kama wamepona au la. Kumalizia utafiti wangu wa watatu hawa nimemalizia kusema na kurudi nililolisema toka mwanzo hii dawa ni utapeli na haiponyi kitu poleni sana mlioenda huko.
 
Nahisi humu jamvini kuna watu wanaokuja na ushuhuda bandia kuhusiana na dawa ya Babu. Mimi binafsi sijaenda huko ila najipanga kwenda kutokana na ushuhuda wa watu wangu wa karibu ambao wengine niliwagharamia kwenda Loliondo mwezi Februari.

Wote wamepona maradhi yaliyokuwa yanawasumbua kama kisukari na pumu. Wamethibitisha hospitali na wanaendelea na maisha kama kawaida.

Pia kuna rafiki yangu wa karibu ambaye alikuwa akisumbuliwa na maumivu ya mgongo na kiuno siku nyingi sana, alipona kiasi cha kama dk 15 tu baada ya kupata kikombe na sasa ameanza tena ku-do, kitu alichokuwa anashindwa kufanya kwa muda mrefu sana.

Ifahamike kwamba Babu amekuwa akipigwa vita na watu wengi wakiwemo wale wanaojiita mitume na manabii. Isije ikawa kuna watu wanapandikizwa humu kumchafua Babu na kuwakatisha tamaa watu wanaotaka kwenda Samunge ili waendelee kwenda kukamuliwa sadaka kwenye makanisa fulani fulani.

Ni bahati mbaya sana kwamba kuna waliopoteza maisha au kuzidiwa baada ya kunywa dawa ya Babu (kama kweli wapo), lakini kwa hawa waliopona mnasemaje?

Dawa ile inatibu, kama mnaumwa nendeni mkainywe.
 
Mimi nashaangaa sana, Kozi nimepita leo hapo Bunda nikiwa nakuja hapa Singita grumeti nimeona msururu wa mabasi makubwa na madogo ukiwa unasubili kwenda loliondo, sasa kama kweli hawaponi nini kinawasukuma hawa watu kwenda huko.
 
Nakutatalia mkuu. Shetani haponyi hata siku moja. Yeye kazi yake kuharibu halafu anakaa pembeni anakucheka unavyohangaika. Ni MUNGU peke yake tu anaeponya.
Watu wengi walienda kwa Babu kwa imani kwamba ametumwa na Mungu wa mbinguni muumba wa mbingu na inchi, labda ungetusaidia kweli alitumwa na Mungu? otherwise, ata shetani(mungu wa dunia hi) naye anaponya!
 
Kweli mkuu. Jana magazeti yamesema kuna magari manne kutoka Kenya yametua Loloindo. Kama waKenya waliokunywa kikombe wangekuwa hawajapona wangekuja?
Mimi nashaangaa sana, Kozi nimepita leo hapo Bunda nikiwa nakuja hapa Singita grumeti nimeona msururu wa mabasi makubwa na madogo ukiwa unasubili kwenda loliondo,
sasa kama kweli hawaponi nini kinawasukuma hawa watu kwenda huko.
 
Leo hii asubuhi kazini amekuja mfanyakazi mmoja na ripoti ya daktari kutoka India ambako alimpeleka mtoto wake kwa ajili ya kupandikiza figo. Mtoto huyu alikuwa ana matatizo ya figo na iliamriwa akatwe na kupandikizwa figo nyingine na mama yake ndiye ange'donate'.

Walipofika india(mara ya kwanza) wakapewa (tablets) kwanza watumie kwa muda wa miezi sita halafu ndiyo warudi wakampandikize hiyo figo. waliporudi hapa, wakaamua waendelee na vidonge na wakati huohuo waende Loliondo ili akapate kikombe.

Alipofika India(mara ya pili) kwa ajili ya kupandikiza hiyo figo walipomfanyia vipimo wakakuta hana matatizo yoyote ya figo na madaktari kule india walishangaa imekuwaje. Mama yake aliyempeleka hakuwaeleza kama walipata kikombe.

Dawa ya babu haina sumu kama ilivyobainishwa na mkemia mkuu. Kama imani yako inakukataza kuinywa basi usinywe. Lakini kama unamatatizo na hukatazwi na imani yako kapige kikombe, mbona wengi wamepona? Kufa ni kufa tu mbona hospitalini watu wanakufa kama siku yako imefika hakuna mtu atakayebakia. Lakini bado binadamu tunatumia dawa mbalimbali kujitibu.

Je hizo za kizungu ndiyo si za kishetani?
Freemansons je hawamo humo?
Tafakari na uamue mwenyewe bila ya kusikiliza maneno ya watu.
Kila mtu na jinsi unavyojisikia.
 
Gonga Hapa, ili kusikiliza Kipindi cha Njia Panda, ambacho kinarushwa na Cloud FM.

Katika kipindi hiki, utayasikia majibu baada ya kupimwa ili kuthibitisha kauli ya dada aliyehojiwa katika kipindi kilichotangulia na kutamka kuwa anaamini amepona baada ya kunywa dawa kwa Mchungaji Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Ambilikile Masapila huko Loliondo kijijini Samunge.
 
sheikh yahaya tu ndiye anayeweza kuzuia kifo.........au sio????

Nini Yahaya, hata akitokea Muislamu mwingine ambaye atakuwa na madai kama ya huyo babu wa kanisa, basi madai yake hayatokubaliwa na yatakuwa batili hata kama atayaegemeza na Uislamu. Hakuna wa kuoteshwa wala kuletewa ufunuo hivi sasa. Hizo ni njia za kitapeli za kujitafutia umaarufu na utajiri wa njia ya mkato. Na wajinga ndio waliwao.

Watu waongo, wajanja, malaghai wa namna hiyo wanaodai kuoteshwa, wenye malengo ya kutafuta umaarufu, utajiri au kutangaza dini zao kwa njia kama hizo za kudai kuoteshwa, hawajaanza leo, na wataendelea kutokeza wengi.... Na watawapoteza wengi.
 
Nini Yahaya, hata akitokea Muislamu mwingine ambaye atakuwa na madai kama ya huyo babu wa kanisa, basi madai yake hayatokubaliwa na yatakuwa batili hata kama atayaegemeza na Uislamu. Hakuna wa kuoteshwa wala kuletewa ufunuo hivi sasa. Hizo ni njia za kitapeli za kujitafutia umaarufu na utajiri wa njia ya mkato. Na wajinga ndio waliwao.

Watu waongo, wajanja, malaghai wa namna hiyo wanaodai kuoteshwa, wenye malengo ya kutafuta umaarufu, utajiri au kutangaza dini zao kwa njia kama hizo za kudai kuoteshwa, hawajaanza leo, na wataendelea kutokeza wengi.... Na watawapoteza wengi.

Sasa ulikuwa wapi wakati wote huu "Sheikh" Yahya akitesa na utabiri/utabibu wake feki wa "kusoma" nyota na majini ambao unaenezwa kwenye National Media zote (Tena kwa miaka lukuki, nadhani tokea wewe ukinyonya kwa mamako) hadi uanze kumkomalia "Babu wa Loliondo" wa hivi majuzi tu?

Akifanya "Sheikh" utapeli wake na kujizolea umaarufu na utajiri, poa. Lakini akiingia "bona fide" Mchungaji fulani kwa vigezo hivyohivyo, noma, au siyo?

Halafu onyesha maada uliyoanzisha humu ndani kumshutumu na kumlaumu "Sheikh" Yahya na wenzake wenye imani kama yako wanaojifanya miungu hadi kudiriki kutabiri vifo vya watu kiholela kwa sababu zao binafsi za kisiasa.
 
Sijaona tatizo kwenye dawa ya babu! iko ok na sio sahihi kuifananisha na Kinjekitile, rejea ripoti ya Muhimbili! tutaongea baadae
 
Elli !! Ungekuwa umeokoka, usinge andika hivo. Kwakuwa unasema hakuna kuokoka duniani, basi endelea kuamini hiyo dawa ya kienyeji aliyooteshwa na mungu, huyo mch.wenu. Kumb. si kila ndoto inatokana na Mungu aliye hai. YEREMIA23:25-29.

Mungu anatumia Neno, anasema ndoto ni makapi. Na neno ni YESU (Yohana1:1-5), ndiyo maana kwa jina la YESU tu wenye imani wanapona.

Ndiyo maana kina Mtume Paul ktk huduma zao hawakuwa wanagawa maji, mafuta au chochote kuwa ati ni uponyaji au upako.

Sasa hiyo dawa ya babu imetokana ktk ufunuo upi?
Nielimishe!!
Kupona siyo uthibitisho kuwa ni Mungu aliye hai, kwani hakuna waganga wa jadi wanatibu watu na wanapona?
Na wao walioteshwa. Sasa ni mungu yupi aliwaotesha?
 
Sijaona tatizo kwenye dawa ya babu! iko ok na sio sahihi kuifananisha na Kinjekitile, rejea ripoti ya Muhimbili! tutaongea baadae

Sawa, hata waseme inaponya. Je ataruhusu dawa isambazwe duniani kote? Bado hujanishawishi. Angesema ni utafiti wake tu, hapo labda ningeshawishika. Lakini kahusisha Mungu na ndoto hapo ni uongo tu. Hata WHO waseme inatibu, watafanyaje bila samunge na babu? Na babu akifa kesho itakuwaje? Huoni bado ni tatizo?
 
Ama kweli kuzaliwa Tanzania ni kipimo tosha cha ujinga na ndio maana mpaka leo hakuna hata profesa mmoja aliyegundua kitu chenye utofauti na vile vya wazungu. sasa naamin PRIMITIVITY HAVE NO CURE.
Wapendwa lazima mkubali kwamba kwa mungu si kwa mzungu useme ukwee pipa upae. ARVs na dawa zote zitokazo viwandani, raw material zake zinatokana na mitishamba sasa sion sababu kwann baadhi watz wanakataa dawa ya babu labda ni ujinga wao wa kiakili na uerevu. Dawa ya babu imeshathibitishwa na MUCHS/MUHAS, TFDA et
 
Kweli mkuu. Jana magazeti yamesema kuna magari manne kutoka Kenya yametua Loloindo. Kama waKenya waliokunywa kikombe wangekuwa hawajapona wangekuja?

Mimi nipo loliondo si magari manne tu kutoka kenya kuna magari zaidi ya mia yanapita kila baada ya siku tatu hayo magazeti hayana ukweli
 
Mimi nipo loliondo si magari manne tu kutoka kenya kuna magari zaidi ya mia yanapita kila baada ya siku tatu hayo magazeti hayana ukweli
Ndg: rejea maoni yangu, ujue nini uponyaji wa Mungu aliye hai. Tatizo ni ndoto yake na masharti yake. Si kuponya.! Kwani hata Lazaro aliye fufuliwa na Yesu bado yu hai? Hao waliotibiwa na babu wamepona kwa imani gani? Kama ni ya Mungu aliye hai si sawa. Kama ni utafit wake sawa. Soma neno. Usitumie akili tu.
 
Babu hamlazimshi mtu kwenda kwake. Ninachofahamu ni kwamba km hujaenda pale hutakaa utulie. Utahitaji kuuliza sana ili usijeenda hv hv ukapoteza nauli. Ndg yangu watu waliotoka wengi wamepona. Endelea kukusanya nauli, najua ukitoka huko ww mwenyewe utaleta humu JF thread ya ushuhuda wa kupona .
 
Watu wanashindwa kuelewa kuwa siku dawa ya UKIMWI ikipatikana dunia yote itageuka upside down. Itakuwa ni habari moja kubwa sana kati ya habari zilizowahi kuvunja rekodi humu duniani. Si Tanzania tu peke yake bali the whole world will be in shock.

...................... wajinga ni wengi kuliko wenye akili, kama wako walioamini mtu kageuka chatu polisi buguruni sembuse kikombe ! ni nabii Mussa AS pekee ndio aliongea na MUNGU si YESU AS(Isaah) wala Yahya AS(Yohana) wala si Ibrahim AS, huo utukufu Ambilikile kautoa wapi?:A S 39:
 
Back
Top Bottom