mi nlchoshuhudia ni wa2 kuzdiwa na nmeshuhudia kati ya hao waliozdiwa wa 5 kat yao walipoteza maisha( RIP WOTE) kuna k2 bdo knanchanganya na cjakielewa vzr. Kwa nini waliopata dawa ya babu wanaona nafuu wk2 za mwanzo then baada ya 2wks wanazdiwa mara 10 ya mwanzo? Nna ushahd cz nmewashuhudia wengi. Mungu wabariki waTZ.
Nikuwa shetani anafanya kazi kwa njia mbili maana yeye ndiye mtengeneza shida; anakuondolea ile ya mwanzo na baada ya muda kukupatia nyingine kubwa zaidi na kama akijua wewe kiroho uko potential kumgeuka lazima akumalize haraka uende kuzimu lakini kama kirohoo tayari ni mfu ata ku spare ila atakubadilishia tatizo ili uendelee kuwa tegemezi kwake.
Wapendwa habari ya kuwa Mungu anaponya si yakusadikika na kila mtu anaweza kupata uponyaji huo kama atapata mafundisho sahihi ambayo yanaleta imani na imani husababisha uhuisho wa roho na mwili. Nimetoa shuhuda zangu nyingi na nimefundisha kwa nguvu na akili yote aliyoweza kunifunulia roho mtakatifu lakini nasikitika watu hawakutilia maanani. My sister Judith alitoa muda wake na alitukanwa na wengi bila kujua walikuwa wanaelekea shimo la maangamizi. Wapo ambao walijitahidi sana kuwatahadharisha watu lakini bado hawakuaminiwa; time is a gud friend ukweli utakuwa wazi. Poleni sana ila si vibaya bado rehema za Mungu ni kubwa sana kwa yeyote yule atakaye kubali na kupokea.
Namwambia tena babu ole kama anatumika kwa ufahamu wake maana hukumu yake itakuwa wazi kama alivyo potosha watu kwa uwazi; na heri kwake kama amefungwa bila kujua lakini jambo moja ninauhakika nalo ya kuwa akifanyacho hakina uhusiano na nguvu za roho wa Mungu aliye hai ambaye sisi tunamjua kwa jina la Yesu kristo wa Nazareth bwana na mwokozi wa maisha yetu.