Dawa ya mchepukaji!

Dawa ya mchepukaji!

huyu ni mwanamke anayejielewa na kujitambua humu ndani.. Hapendi michepuko wala sio mpenda pesa.. Nadhani anastahili kuwa shemu wangu Warren T
Sawa, ni kweli anastahili mkuu ila huwa anataja taja pesa kila saa na kila kona!
 
Sawa, ni kweli anastahili mkuu ila huwa anataja taja pesa kila kona!
kutaja pesa kuzikuzuie na kukufanya umuogope @misschaga, nina hakika hayupo kama anavyoishi humu ndani... Binafsi nisingekuwa na Huyu Binti wa kinyakyusa ningejiweka kwake... Anavutia, ana maneno matamu na vile ni muelewa. Kumuacha @misschaga ni sawa na kupiga teke gunia la pesa
 
kutaja pesa kuzikuzuie na kukufanya umuogope @misschaga, nina hakika hayupo kama anavyoishi humu ndani... Binafsi nisingekuwa na Huyu Binti wa kinyakyusa ningejiweka kwake... Anavutia, ana maneno matamu na vile ni muelewa. Kumuacha @misschaga ni sawa na kupiga teke gunia la pesa
Hivi mkuu unatumia mbinu gani kuwakwapua hawa watoto wazuri wa JF, kwa sababu huyu ulie nae sasa hivi ni wa tisa sasa, nifundishe hizo mbinu please kwa sababu nina ugwadu kinoma!!!
 
a
Hivi mkuu unatumia mbinu gani kuwakwapua hawa watoto wazuri wa JF, kwa sababu huyu ulie nae sasa hivi ni wa tisa sasa, nifundishe hizo mbinu please kwa sababu nina ugwadu kinoma!!!
aaaah namuomba MUNGU asipaone @kamagatec utaifanya jumatatu yangu kuwa mbaya sana mkuu... Humu nimekwapua watatu tu sio kumi kama ulivyosema
 
a

aaaah namuomba MUNGU asipaone @kamagatec utaifanya jumatatu yangu kuwa mbaya sana mkuu... Humu nimekwapua watatu tu sio kumi kama ulivyosema
Watatu!! [emoji15]
 
Back
Top Bottom