Mwamba028
JF-Expert Member
- Nov 15, 2013
- 4,649
- 3,816
Wakuu nataka kufanya kilimo cha bustani maeneo pwani huko, mazao yatakuwa Nyanya na Pilipili Hoho
Nachohitaji kujua ni dawa gani naweza kutumia kuweka kwenye Vitalu au Viriba ili kuzuia miche kushambulia ikiwa midogo
Kwa maana nilijaribu kuweka mbegu kidogo eneo la nyumbani,,baada ya siku 3 ziliota ila kesho yake nkakuta zimekatwa vile vijani viwili,inaonekana kuna mdudu anaila ikiwa midogo kbs.
Kwahyo nataka kujua dawa ya kuzuia hili tatizo nitakapoingia kamili wakuu
Nachohitaji kujua ni dawa gani naweza kutumia kuweka kwenye Vitalu au Viriba ili kuzuia miche kushambulia ikiwa midogo
Kwa maana nilijaribu kuweka mbegu kidogo eneo la nyumbani,,baada ya siku 3 ziliota ila kesho yake nkakuta zimekatwa vile vijani viwili,inaonekana kuna mdudu anaila ikiwa midogo kbs.
Kwahyo nataka kujua dawa ya kuzuia hili tatizo nitakapoingia kamili wakuu