Hakuna dawa zaidi ya kufanya mazoezi tu na kula kwa mpangilio vyakula visivyokua na mafuta mengi au visivyo na mafuta kabisa pia kuacha kula vyakula vinavyohifadhiwa kwenye makopoNaulizia dawa ya kuondoa cholesterol
mwilini.
Mimi pia naitafutaga muda sanaNaulizia dawa ya kuondoa cholesterol
mwilini.
Fanya mazoezi kwa wingi, zitaunguzwa zenyewe kwa respiration processNaulizia dawa ya kuondoa cholesterol
mwilini.