Dawa ya kuondoa cholesterol mwilini.

Dawa nzuri ni pomegranate seeds. Unachemsha unakunywa kama chain. Ni bora kuiweka kama sehemu yako ya mlo itakusaidia sana.
 
Zingatia ushauri wa wadau wote waliokupa.

Pia unaweza kutumia dawa za kitaalamu kama Atorvastatin, Rusuvastatin, Simvastatin.

Kabla ya kutumia hizo dawa, muone kwanza daktari kwa maelezo zaidi
 
Back
Top Bottom