Baada ya kuwafundisha akina mama na akina dada dawa kwa ajili ya wale wanaojikausha kupokea simu za mahawara wanapokuwa nasi, sasa niwapeni dawa mpya kwa ajili ya kukomesha uzinzi kabisaa:-
sioni chochote.
Ndonga imewekwa kwenye ubao na kukatwa na jambia mbele ya kadamnasi, jamaa kabaki na kishina kama tiketi za TFF
Wanachosha na wanasumbua sana akili zetu hawa viumbe wanaojiita wanaume, bora kuwe na mbinu za kuwakomesha.Naona leo umeamua kukomalia uzinzi@Binti.com
Wanachosha na wanasumbua sana akili zetu hawa viumbe wanaojiita wanaume, bora kuwe na mbinu za kuwakomesha.