UMASIKINI BWANA
JF-Expert Member
- Oct 17, 2013
- 942
- 567
Nimetafakari sana kwa kina nikapata hitimisho la wanaume kuepuka michepuko kama ifuatavyo. Kwanza inaaminika kuwa wanaume wenye uwezo wa kifedha ndo huongoza kwa michepuko.
Napendekeza ili uepuke oa wanawake warembo sana idadi utakayo halafu waweke sehemu moja kwa kuwaelimisha upendo baina yao.
Hapo utakua unatembelea maeneo yako kwa kujimwaga vichuchu mtaani utakuwa unavidharau tu kwakuwa maumbo, rangi, taste zote zipo home.
Asanteni kwa kusoma maoni yangu nakaribisha ustarabu katika mjadala.
Napendekeza ili uepuke oa wanawake warembo sana idadi utakayo halafu waweke sehemu moja kwa kuwaelimisha upendo baina yao.
Hapo utakua unatembelea maeneo yako kwa kujimwaga vichuchu mtaani utakuwa unavidharau tu kwakuwa maumbo, rangi, taste zote zipo home.
Asanteni kwa kusoma maoni yangu nakaribisha ustarabu katika mjadala.