Fadhili Paulo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2011
- 3,211
- 988
Jamani, yeye anataka dawa ya kuponya vidonda vya tumbo, wewe unampa sababu inayosababisha vidonda vya tumbo.
Mkuu, naona macho yanaanza kuchoka kufanya kazi, soma vizuri maelezo yangu.
Jamani, yeye anataka dawa ya kuponya vidonda vya tumbo, wewe unampa sababu inayosababisha vidonda vya tumbo.
Mkuu, naona macho yanaanza kuchoka kufanya kazi, soma vizuri maelezo yangu.
Ndio mkuu maanake vitambi vingine ni uvivu tu wa kwenda chooni!!!!!!Kwa hiyo ukihalisha kitambi kinapungua sio?
Kwa hiyo ukihalisha kitambi kinapungua sio?
Kumbee! Ahsante mkuu ngoja tufanyie majaribio haya makitu aisee.
Hapana bado nakihitaji kitambi,ndio maana kila siku nafanya juhudi kubwa kuhakikisha kinakuwa kikubwa kuliko maelezo na kuthibiti mbinu zozote zinazoelekea kukidhoofisha kitambi hiki.eehe mwenyezi mungu bariki kitambi changu ili siku ile ntakaposimamiswa kazi nipate ugonjwa wa watu wakubwa hata kama ni h.i.v. Ili nipate sifa kuu mbele za wale niliowahujumu kukinenepesha kitambi changu.
Asprin dont try this at all. Bila hicho kitambi hupati mademu wala bia za mkopo
Thanks mkuu, acha nikajaribu. Kitambi noma, muda wote unajisikia kunyakunya halafu performance inashukakuna njia nyingi zinaelezwa kama juhudi za kutokomeza kitambi, leo jaribu hiii
tafuta ukwaju at least nusu kilo au robo kilo,ukisha uandaa uloweke kwenye maji lita moja kwa nusu kilo au maji nusu lita kwa ukwaju robo kilo, wait until 2hours to pass, then kamua kutenganisha juice ya ukwaju na peke zake, baada ya kupata juice yake weka kwenye glass na uchanganye na asali kwa kiwango cha kupata test standard kama juice zingine,
kitakachofatia baada ya kama saa moja....utaharisha sana sana, fanya hivo every day mara tatu kwa siku hadi utapo ona sasa inatosha, kwa kifupi ni tiba nzuri sana, TRY IT, u can see...na kama kikigoma kutoka ni bora ukafanyiwe oparesheni au ukaombewe
Kisipotoka i will sue youkuna njia nyingi zinaelezwa kama juhudi za kutokomeza kitambi, leo jaribu hiii
tafuta ukwaju at least nusu kilo au robo kilo,ukisha uandaa uloweke kwenye maji lita moja kwa nusu kilo au maji nusu lita kwa ukwaju robo kilo, wait until 2hours to pass, then kamua kutenganisha juice ya ukwaju na peke zake, baada ya kupata juice yake weka kwenye glass na uchanganye na asali kwa kiwango cha kupata test standard kama juice zingine,
kitakachofatia baada ya kama saa moja....utaharisha sana sana, fanya hivo every day mara tatu kwa siku hadi utapo ona sasa inatosha, kwa kifupi ni tiba nzuri sana, TRY IT, u can see...na kama kikigoma kutoka ni bora ukafanyiwe oparesheni au ukaombewe
kuna njia nyingi zinaelezwa kama juhudi za kutokomeza kitambi, leo jaribu hiii
tafuta ukwaju at least nusu kilo au robo kilo,ukisha uandaa uloweke kwenye maji lita moja kwa nusu kilo au maji nusu lita kwa ukwaju robo kilo, wait until 2hours to pass, then kamua kutenganisha juice ya ukwaju na peke zake, baada ya kupata juice yake weka kwenye glass na uchanganye na asali kwa kiwango cha kupata test standard kama juice zingine,
kitakachofatia baada ya kama saa moja....utaharisha sana sana, fanya hivo every day mara tatu kwa siku hadi utapo ona sasa inatosha, kwa kifupi ni tiba nzuri sana, TRY IT, u can see...na kama kikigoma kutoka ni bora ukafanyiwe oparesheni au ukaombewe