JFK wabongo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2015
- 3,887
- 3,187
Kama kichwa cha topic kinavyojieleza. Natamani kujua hii shubiri inachimbwa kama madini au la? Na kama ni madini, yanaitwaje kisayansi?
Nawasilisha!
Nawasilisha!
Ni aloe vera ndio shubiri.Ni mmea jamii ya cuctus.Kama kichwa cha topic kinavyojieleza. Natamani kujua hii shubiri inachimbwa kama madini au la? Na kama ni madini, yanaitwaje kisayansi?
Nawasilisha!
Hata mie nilijua hivyo.. Leo nimeshangaa kukutana na jiwe, jeusi, chungu kama shubiri linaitwa shubiri.Ni aloe vera ndio shubiri.Ni mmea jamii ya cuctus.
Iko kama jiwe, ni jeusi, chungu kama shubiri halafu nalo pia linaitwa shubiri.shubiri si aloevera?
Sidhani kama ile kitu ni organic matter.Tunda za mualovera
Kama hivyo sawa!Ni alovera inatolewa kwnye hali ya kimiminika mpk kuwa ktk hali uliyo iona, kazi ya wakemia wa kihindi.
Ngoja nikirudi kijiweni ntaomba niipige pichapicha tafadhali
sawa mkuuNgoja nikirudi kijiweni ntaomba niipige picha
Hukunishawishi, ndiyo maana!Kwahiyo unabisha au
Kupunguza uzito!Hilo dude jeusi tii na chungu kama ngiloriti linatibu nini wengine wageni wa miziziology