Ebenezer112
Member
- Apr 21, 2014
- 40
- 9
Habari za kazi,,


Mkwepa KodiTAPELI MKUBWAHabari zenu Wandugu,
Ninamshukuru Mungu kwa kunipa maarifa ya kutengeneza dawa ambazo zitawaokoa watanzania wenzangu wenye matatizo ya Kansa na Kisukari.
Kansa na Kisukari ni magonjwa yanayojulikana kuwa yanasababisha ulemavu au kifo, na kwa Kansa ni pale inapokuwa imeshafikia hatua ya Ngazi ya nne (Stage 4).
Dawa za kansa zinazopatikana ni kama kansa ya maini, matiti, tezi dume (Prostate), Kibofu, Mapafu, Kongosho na Shingo ya uzazi.
Huwa inachukua hadi miezi 10 ili mtu aweze kupona kabisa, ila huwa inachukua miezi minne hadi mtu aweze kurudi kazini kama alikuwa hawezi na hoi kitandani.
Dawa inaanza kuonyesha mabadiliko kwa mtu baada ya siku nne na Mtu anaanza kupata usingizi kama alikuwa anapata usingizi kwa shida, na maumivi mwilini na uchovu mwilini huanza kuondoka baada ya siku nane tokea pale mtu alipoanza kutumia dawa.
Kwa mtu mwenye kidonda cha kansa au kisukari huwa inachukua hadi siku ishirini ili aweze kupona kabisa.
Mtu yoyote anayehitaji hizi dawa basi asisite kuwasiliana na mimi kwenye namba ya simu au email yangu hapo chini.
Email:- lemaebengmail.com
Mobile:- 0625 595557; 0656 270329
Asanteni Sana na Karibuni wote mnaohitaji huduma na pia nawashukuru kama mkiwataarifu wale wanaoteseka na wanaohitaji huduma.
Umeshazipeleka hayo mashirika alosema mkwepa kodi???Habari za jioni MKWEPA KODI,
Huwa nazitoa bure kwa dozi mbili ambapo mtu atatumia kwa miezi miwili alafu kama zikimsaidia na akazipenda basi ndo anunue zinazofuatia.
Nadhani umenielewa kaka.
TAPELI MKUBWA ULAANIWE
Nasubiri jibu languHabari za jioni Retired,,
Najua kwamba utasema mimi ni tapeli,, Lakini sichukui pesa ya mtu mpaka nimpe dawa na azitumie kwa miezi miwili ndo anilipe kama atapenda kunichangia, lakini siwezi kuchukua pesa ya Mtu mpaka adhibitishe mwenyewe kwamba dawa hii inatibu.
Nadhani umenielewa kaka.
Hivi lile sakata la ARV's feki TFDA haikuwepo?Mmmh hapa kuna harufu ya utapeli, peleka Wizara ya afya ikapimwe na ipelekwe WHO na mashirika mbalimbali kama TFDA kabla haijaanza kutumika
Umeshazipeleka hayo mashirika alosema mkwepa kodi???
sukari inaponesha kabisaHabari zenu Wandugu,
Ninamshukuru Mungu kwa kunipa maarifa ya kutengeneza dawa ambazo zitawaokoa watanzania wenzangu wenye matatizo ya Kansa na Kisukari.
Kansa na Kisukari ni magonjwa yanayojulikana kuwa yanasababisha ulemavu au kifo, na kwa Kansa ni pale inapokuwa imeshafikia hatua ya Ngazi ya nne (Stage 4).
Dawa za kansa zinazopatikana ni kama kansa ya maini, matiti, tezi dume (Prostate), Kibofu, Mapafu, Kongosho na Shingo ya uzazi.
Huwa inachukua hadi miezi 10 ili mtu aweze kupona kabisa, ila huwa inachukua miezi minne hadi mtu aweze kurudi kazini kama alikuwa hawezi na hoi kitandani.
Dawa inaanza kuonyesha mabadiliko kwa mtu baada ya siku nne na Mtu anaanza kupata usingizi kama alikuwa anapata usingizi kwa shida, na maumivi mwilini na uchovu mwilini huanza kuondoka baada ya siku nane tokea pale mtu alipoanza kutumia dawa.
Kwa mtu mwenye kidonda cha kansa au kisukari huwa inachukua hadi siku ishirini ili aweze kupona kabisa.
Mtu yoyote anayehitaji hizi dawa basi asisite kuwasiliana na mimi kwenye namba ya simu au email yangu hapo chini.
Email:- lemaebengmail.com
Mobile:- 0625 595557; 0656 270329
Asanteni Sana na Karibuni wote mnaohitaji huduma na pia nawashukuru kama mkiwataarifu wale wanaoteseka na wanaohitaji huduma.
Tunaogopa kikombe cha babu. Tulipoteza ndugu zetu wakaacha kunywa dawa! Cancer is not that easy to treat. Unaweza ukawa na potential medicine for making more research on it, that is acceptable, lakini kuponya, si kweli! Au inatibu symptoms lakini cancerous cells are intact!Habari za jioni Retired,,
Najua kwamba utasema mimi ni tapeli,, Lakini sichukui pesa ya mtu mpaka nimpe dawa na azitumie kwa miezi miwili ndo anilipe kama atapenda kunichangia, lakini siwezi kuchukua pesa ya Mtu mpaka adhibitishe mwenyewe kwamba dawa hii inatibu.
Nadhani umenielewa kaka.
Nasubiri jibu langu
Hi scorpio me,,, Bado sijazipeleka huko ila nimeshazipeleka Baraza la Tiba Asilia na wanataka Prove au Uhakiki wa watu mbali mbali kudhibitisha kwamba dawa zangu zinaponya na ndomaana nimekuja huku JF ili watu wafahamu kwamba dawa zangu zinatibu kweli na watu waweze kujijaribia wenyewe.
Pia mimi sio Mganga wa kienyeji wala mchawi.
Nadhani umenielewa kaka.
me sio kaka mkuu....
...sukari inaponesha kabisa
Inaponesha kabisa kaka,,
we chukua dawa ukajaribu mwenyewe alafu ataniambia baada ya mwezi mmoja kama sukari haijashuka kwa kiwango kikubwa,,!!!
me sio kaka mkuu....
Ila bado hujatushawishi,isije ikawa yale ya babu wa loliondo au dk mwaka![]()
![]()
...