Dawa ya kansa inapatikana!!!

Dawa ya kansa inapatikana!!!

tuingie mkataba mm na ww ntakuletea mngonjwa wa kisukari asipopona utatulipa nn?

Habari,

Huwa sichukui pesa mpaka mgonjwa ajaribu dawa na yeye mwenyewe athibitishe kwamba dawa inafanya kazi ndo sasa anaruhusiwa kununua kwa sababu ni vibaya sana kama utamuuzia mtu dawa alafu isifanye kazi, itakuwa si haki kwa mgonjwa.
 
Habari,

Huwa sichukui pesa mpaka mgonjwa ajaribu dawa na yeye mwenyewe athibitishe kwamba dawa inafanya kazi ndo sasa anaruhusiwa kununua kwa sababu ni vibaya sana kama utamuuzia mtu dawa alafu isifanye kazi, itakuwa si haki kwa mgonjwa.
sw ww usichukue pesa je acpopona c itakua umemlisha mngonjwa wng sumu pamoja na usumbufu km upo tyr tuingie mkataba acpopona utatoa fidia ya usumbufu na kutudanganya
 
tuingie mkataba mm na ww ntakuletea mngonjwa wa kisukari asipopona utatulipa nn?

Habari Twaleeb,

Huwa sichukui pesa mpaka mgonjwa ajaribu mwenyewe dawa na kama ataona mabadiliko na afya yake kuimarika basi ndo anaruhusiwa kununua, kwa sababu ninahitaji kuaminika kwa watu kuwa dawa zangu zinatibu kabisa.
 
Peleka ikachunguzwe mkuu vinginevyo utstumia nguvu nyingi sana kujitetea ila ukipeleka wakakuta iko pw utakula pesa mpaka ikuzoee
 
Habari za jioni Retired,,

Najua kwamba utasema mimi ni tapeli,, Lakini sichukui pesa ya mtu mpaka nimpe dawa na azitumie kwa miezi miwili ndo anilipe kama atapenda kunichangia, lakini siwezi kuchukua pesa ya Mtu mpaka adhibitishe mwenyewe kwamba dawa hii inatibu.

Nadhani umenielewa kaka.
Umeulizwa umeshazipeleka WHO Na kule kwa Mkemia kuzidhibisha hizo dawa zako?
Bado tunakikumbuka kile kikombe cha kule Loliondo ,,

Sasa hapa na wew unataka kucheza na akili za Watu,,
 
Kansa haina dawa acha uongo

Habari,

Wala usiwe na wasiwasi, ijaribu halafu utaniambia kwamba inatibu au haitibu.

Ni ninayo Sawa ya kansa na inatibu kweli kweli, kwahiyo wasiwasi hausaidii kitu we nipigie simu nikuletee dawa utumie na baada ya wiki mbili utanipigia simu kunishukuru kwa mafanikio utakayoyapata.
 
Hi scorpio me,,, Bado sijazipeleka huko ila nimeshazipeleka Baraza la Tiba Asilia na wanataka Prove au Uhakiki wa watu mbali mbali kudhibitisha kwamba dawa zangu zinaponya na ndomaana nimekuja huku JF ili watu wafahamu kwamba dawa zangu zinatibu kweli na watu waweze kujijaribia wenyewe.

Pia mimi sio Mganga wa kienyeji wala mchawi.

Nadhani umenielewa kaka.
Nenda pale Ocean road Hosp,, mchukue mgonjwa mmoja mpe hiyo miziz yko watu waone huyo usimtoze hata sumuni yke,,

Watu wakiona hali hii kwenye Tv tutakuamini kwa sas Tunasoma hz Namba kuaminiana hakupo.
 
Umeulizwa umeshazipeleka WHO Na kule kwa Mkemia kuzidhibisha hizo dawa zako?
Bado tunakikumbuka kile kikombe cha kule Loliondo ,,

Sasa hapa na wew unataka kucheza na akili za Watu,,

Huwa hawapimii dawa WHO, ila TFDA na kwengineko hapa nchini, na kama unahitaji kupeleka huko ni lazima ulipie peaa nyingi, na kama huna pesa inabidi upeleke doctors document prove kwamba kweli Mtu huyu amepona,,
na idadi ya watu ambao wanatakiwa kupona ni 50 ili wakupe kibali cha kufanya kazi bila shaka.
 
Nenda pale Ocean road Hosp,, mchukue mgonjwa mmoja mpe hiyo miziz yko watu waone huyo usimtoze hata sumuni yke,,

Watu wakiona hali hii kwenye Tv tutakuamini kwa sas Tunasoma hz Namba kuaminiana hakupo.


Habari,,

Dawa yangu ipo kama asali na sio mizizi,,,
 
H
Nenda pale Ocean road Hosp,, mchukue mgonjwa mmoja mpe hiyo miziz yko watu waone huyo usimtoze hata sumuni yke,,

Watu wakiona hali hii kwenye Tv tutakuamini kwa sas Tunasoma hz Namba kuaminiana hakupo.


Habari,,

Mtu haponi kwa siku moja, na kama ulisoma comments nlizokua natoa Hapo juu ni kwamba simtozi Mtu pesa mpaka aijaribu dawa kwanza, alafu kama aliona anapona na akiipenda basi atalipia pesa kununua, lakini sichukui pesa mpaka Mtu aijaribu dawa kwanza.

Nadhani umenielewa,,.
 
Kama ulipoteza mama kwa kansa na unafahamu maumivu ya kansa na inatambulika kuwa hakuna dawa ya kansa....basi mizaha kama hii huudhunisha sana.
 
Hahahhaha kumbe na JF pia kuna madaktari wa matunguli?.

Naomba kamtibu yule dogo shabiki wa sunderland akipona na mimi nitakuwa moja ya watu watakao kutangazia biashara yako.

Habari Raphael,,

Hapahapa Tanzania kuna watu wanaoumwa kansa na sio mpaka ureno, sasa kama ukiniletea Mtu anaeumwa kansa nimtie dawa na kwakua atapona basi itakuwa ni mwanzo mzuri wa Mimi na wewe kufanya kazi.

Nadhani umenielewa.
 
Hi scorpio me,,, Bado sijazipeleka huko ila nimeshazipeleka Baraza la Tiba Asilia na wanataka Prove au Uhakiki wa watu mbali mbali kudhibitisha kwamba dawa zangu zinaponya na ndomaana nimekuja huku JF ili watu wafahamu kwamba dawa zangu zinatibu kweli na watu waweze kujijaribia wenyewe.

Pia mimi sio Mganga wa kienyeji wala mchawi.

Nadhani umenielewa kaka.
haya majaribio unataka kuyafanyia hapa jf?
 
Tunaogopa kikombe cha babu. Tulipoteza ndugu zetu wakaacha kunywa dawa! Cancer is not that easy to treat. Unaweza ukawa na potential medicine for making more research on it, that is acceptable, lakini kuponya, si kweli! Au inatibu symptoms lakini cancerous cells are intact!
Nisamehe kama nimekukwaza! I do apologize!

Hi Retired,,

I also need a doctors approval before and after treatment so that i can know if the person is totally healed or not, and i do advice a frequent checkup after a person is healed.

Even tumors do disappear after taking my medicines, so why don't you give it a try since you wount be paying any fees for two doses which will be used for two months,,!!!
 
Habari Raphael,,

Hapahapa Tanzania kuna watu wanaoumwa kansa na sio mpaka ureno, sasa kama ukiniletea Mtu anaeumwa kansa nimtie dawa na kwakua atapona basi itakuwa ni mwanzo mzuri wa Mimi na wewe kufanya kazi.

Nadhani umenielewa.
Kama hao watu wanaoumwa kansa umewajua na umegundua uwepo wao kwanini usijitolee kuwatibu kama msaada kwanza wakati dawa yako inafanyiwa utafiti.

Pili naomba unipe uthibithisho wa mtu aliyepona hayo maradhi na leo hii ni mzima.

Naomba vibali vyako vya kazi ambavyo vitakuwa nione kama huduma yako inatambuliwa na TFDA.

Pia najua kitu kizuri huwa hakitangazwi kinajiuza (nina mashaka na dawa yako).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom