Jitahidi uoge mara 1 kwa siku mbili.Niko Pangani tanga mkuu, kwa siku naoga mara moja tuu pamoja na joto lote lilopo huku
😂 Anao au sio 😂
Kwisha habari😂 Anao au sio 😂
Una uhakika huna scabies? Ni aina ya chawa wadogo sana wanaishi kwenye ngozi. Huwa wanawasha sana na vidole vinakuwa na vipele. Kuna dawa inaitwa scaboma lotion. Ila ni muhimu sana kuwa na usafi wa mashuka na nguo. Kama ni huo ugonjwa, huwa unaambukiza sana na inabidi ufanye usafi wa nguo na mashuka yako.Nimeshauriwa hapo juu nataka niitafute hiyo dawa