Dawa ya hizi rashes (upele)

Dawa ya hizi rashes (upele)

camily

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2018
Posts
268
Reaction score
653
Msaada vipele ivo vinawasha sana, sijajua shida ni nini
20250929_151125.jpg
 
Nimeshauriwa hapo juu nataka niitafute hiyo dawa
Una uhakika huna scabies? Ni aina ya chawa wadogo sana wanaishi kwenye ngozi. Huwa wanawasha sana na vidole vinakuwa na vipele. Kuna dawa inaitwa scaboma lotion. Ila ni muhimu sana kuwa na usafi wa mashuka na nguo. Kama ni huo ugonjwa, huwa unaambukiza sana na inabidi ufanye usafi wa nguo na mashuka yako.
 
Back
Top Bottom