Dawa ya GAMMORA kutoka kampuni ya Zion Medical ni kweli kwamba inatibu HIV?

Emanueli misalaba

JF-Expert Member
Dec 12, 2016
1,113
1,658
Wana Jukwaa la JF Shalom Shalom, Assalamu aleykumu, Tumsifu Kristo Yesu.

Bila kuwapotezea mda wadau naomba msaada wa maelekezo kwa mwenye information kuhusu kampuni ya Zion medical ya huko Israel, kuwa ina tengeneza dawa aina ya Gommora ya kutibu H.iv.

Kumekuwa na matangazo kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii kuitangaza hiyo dawa, huku ukiwatafuta wanakupa namba wakisema wao ni mawakala wako nchi ya Zambia, na wanakutumia dawa ukituma hela, dawa wanauza dollars 250 ya vidonge matumizi ni siku 21 na kuna ya sindano nadhani dollars 500.

Nina ndugu yangu ana changamoto ya H.i.v nilitamani kumnunulia ila nikaingia woga kufanya manunuzi bila kufanya udadisi na kwa watu wengine nisije tapeliwa, maana naogopa biashara ya kumtumia mtu hela huku simjui.

Nikaona nije hapa kwenye jukwaa huenda kuna wenye uelewa zaidi na jambo hili, pia wadau hivi kwa hapa Tanzania kuna ubalozi wa Israel?
Kama upo nikienda kwenye ubalozi wao kupata usaidizi wa kuunganishwa moja kwa moja na watoa dawa wa Zion medical kampuni. Je, inawezekana?

Asanteni sana.
 
Hivi ni ni baadhi ya chatting na huyo wakala ambaye anadai yuko Zambia. Screenshot_2023-01-29-16-49-29-953_com.whatsapp.w4b.jpg Screenshot_2023-01-29-16-49-09-720_com.whatsapp.w4b.jpg Screenshot_2023-01-29-16-48-57-328_com.whatsapp.w4b.jpg Screenshot_2023-01-29-16-48-38-185_com.whatsapp.w4b.jpg Screenshot_2023-01-29-16-48-24-024_com.whatsapp.w4b.jpg
 
Ok sawa shukurani, na vipi kama kuna ubalozi wa Israel nchini niende kwenye ubalozi wao ili waniunganishe na hao wanaotoa dawa moja kwa moja kutoka Israel
 
Wana Jukwaa la JF Shalom Shalom, Assalamu aleykumu, Tumsifu Kristo Yesu,
Bila kuwapotezea mda wadau naomba msaada wa maelekezo kwa mwenye information kuhusu kampuni ya Zion medical ya huko Israel, kuwa ina tengeneza dawa aina ya Gommora ya kutibu H.iv, kumekuwa na matangazo kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii kuitangaza hiyo dawa, huku ukiwatafuta wanakupa namba wakisema wao ni mawakala wako nchi ya Zambia, na wanakutumia dawa ukituma hela, dawa wanauza dollars 250 ya vidonge matumizi ni siku 21 na kuna ya sindano nadhani dollars 500,
Nina ndugu yangu ana changamoto ya H.i.v nilitamani kumnunulia ila nikaingia woga kufanya manunuzi bila kufanya udadisi na kwa watu wengine nisije tapeliwa, maana naogopa biashara ya kumtumia mtu hela huku simjui,
Nikaona nije hapa kwenye jukwaa huenda kuna wenye uelewa zaidi na jambo hili, pia wadau hivi kwa hapa Tanzania kuna ubalozi wa Israel?
Kama upo nikienda kwenye ubalozi wao kupata usaidizi wa kuunganishwa moja kwa moja na watoa dawa wa Zion medical kampuni, je inawezekana?
Asanteni sana.
Haitibu

Soma hapa
An Israeli biotech company has issued a misleading press release which has encouraged some media outlets to falsely suggest that a new drug, Gammora, may be able to cure HIV.

Zion Medical report that their study enrolled nine patients in Uganda. For the first four weeks, patients received a new drug called Gammora. “Most patients showed a significant reduction of the viral load of up to 90% from the baseline during the first four weeks” (emphasis added). In the second part of the study, patients also received conventional antiretroviral therapy. “The results found that combined-treated patients demonstrated sustained viral suppression and achieved HIV-1 RNA <300 copies/mL, and showed up to 99% reduction in viral load from baseline within four weeks.”

This is no better than conventional antiretroviral therapy – which, of course, the trial participants were also taking.

The study has not been presented at a scientific conference, published in a peer-reviewed journal or registered with a regulatory agency. In their press release, Zion Medical describe the mode of action as follows. “Gammora is a synthetic peptide compound derived from the HIV enzyme integrase, which is responsible for inserting the virus's genetic material into the DNA of the infected cell. Gammora stimulates the integration of multiple HIV DNA fragments into the host cell's genomic DNA, to an extent that triggers the self-destruction of the infected cell, called apoptosis.”

The drug appears to be a broad-spectrum disrupter of viral replication (like ribavirin, a drug previously used in hepatitis C treatment). It might work to limit viral proliferation in established infection and the infection of further cells (as other antiretroviral drugs do).

However, there is no reason it would be active against the reservoir of latently infected cells (which already contain integrated HIV DNA). If it could cure, it would need to be active against the latent reservoir.

Find out more in our About HIV pages
“The HIV world has seen quackery in different forms for decades – sadly this smacks of more of it,” Professor Francois Venter of the University of Witwatersrand, South Africa commented.

“I looked at the press report and the unsophisticated company website, and even if you believe their claims, they are many years away from testing them,” he said. “This gives science and scientists a bad name.”

Inatoka:
 
Bro kula matunda tu fanya mazoezi ishi kwa matumaini achana na hizo dawa utajiongezea mawazo ya kutapeliwa tu
 
Zaidi:

According to Zion Medical’s press release, “Gammora is a synthetic peptide compound derived from the HIV enzyme integrase” and works by triggering infected cells to self-destruct in a process known as apoptosis.

To cure HIV, a treatment must drain what is known as the viral reservoir, the collection of unreplicating infected cells that remain under the radar of ARVs, which only work on replicating cells. Zion Medical’s study shows no indication that Gammora had any effect on the viral reservoir. Therefore, the company’s press release provides no valid reason to consider Gammora a potentially curative therapy for HIV.

Hii unaipata:-

 
Back
Top Bottom