Daktari mkuu wa mkoa wa arusha asubuhii hii amethibitisha kuwa dawa ya babu huyo inasemekana kuponya magonjwa sugu ni utata mtupu kwani hakuna mgonjwa ambaye mpaka sasa amethibitika kupona. Dr Shiture Salehe Akiongea mbele ya watafiti wa kimataifa waliopo mkoani humo amasema dawa hiyo haina uponyaji ambao watu wanasema hasa katika gonjwa la ukimwi. na kwa upande wa kisukari amasema ni dawa nyingi za kienyeji zinazoonyesha kutibu magonjwa hayo kitaalamu
Amesema hayo akitoa taarifa ya watafiti wa kimataifa waliopo mkoani humo kuichunguza dawa hiyo.Je tumuachie mungu au au tuendelee na uchunguzi au hawa ni wale waliovunja masharti ya babu
Amesema hayo akitoa taarifa ya watafiti wa kimataifa waliopo mkoani humo kuichunguza dawa hiyo.Je tumuachie mungu au au tuendelee na uchunguzi au hawa ni wale waliovunja masharti ya babu