Lekanjobe Kubinika
JF-Expert Member
- Dec 6, 2006
- 3,020
- 577
Source: Wapo FM
Subira binti mdogo kule Ntwara Kata ya Malata (?) kagundua dawa inaitwa NKONG'OTO. Ati iinakong'ota magonjwa yote sugu na tunavyoongea sasa watu kibao kutoka Nsumbiji na Tanzania wamejaa kupata kikombe cha Subira. Clinical Officer mmoja aliyehojiwa na kituo hicho cha redio maarufu hapa DSM asubuhi hii, anadai kwamba ndiye anayeshughulikia maswala ya HIV/AIDS na anadhibitisha kwamba amewapima wagonjwa waliokuwa positive na walipopata kikombe akawapima tena na walikuwa negative. Mganga huyo anaiomba serikali imsaidie ntoto huyo kuboresha mazingira ili asaidie watu wengi wakiwa katika mazingira salama. Nsumbiji wanakuja mahututi na wanarudi kwa miguu yao.
Ati ntoto Subira alioteshwa ndotoni, akamwambia mama yake waende porini na wakaona jani ambalo ndilo dawa. Huko porini ati huweziona jani hilo mpaka Subira mwenyewe awepo. Waandishi walipokwenda kumhoji wanadai alienda kuwapokea lakini ghafla akazimia na kuzinduka baadaye kuendelea na mahojiano. Wazazi wake wanadaiwa kukiri kwamba kuna mazingira ambayo binti yao anazimia ili apate majibu na kisha uliza swali lolote anakujibu.
Wao! Tutaipata mwaka huu! Labda huyo atakubalika kwa Haji Mponda na wenzake wasiomkubali Babu, maana yeye anaswali sana Subira.
Subira binti mdogo kule Ntwara Kata ya Malata (?) kagundua dawa inaitwa NKONG'OTO. Ati iinakong'ota magonjwa yote sugu na tunavyoongea sasa watu kibao kutoka Nsumbiji na Tanzania wamejaa kupata kikombe cha Subira. Clinical Officer mmoja aliyehojiwa na kituo hicho cha redio maarufu hapa DSM asubuhi hii, anadai kwamba ndiye anayeshughulikia maswala ya HIV/AIDS na anadhibitisha kwamba amewapima wagonjwa waliokuwa positive na walipopata kikombe akawapima tena na walikuwa negative. Mganga huyo anaiomba serikali imsaidie ntoto huyo kuboresha mazingira ili asaidie watu wengi wakiwa katika mazingira salama. Nsumbiji wanakuja mahututi na wanarudi kwa miguu yao.
Ati ntoto Subira alioteshwa ndotoni, akamwambia mama yake waende porini na wakaona jani ambalo ndilo dawa. Huko porini ati huweziona jani hilo mpaka Subira mwenyewe awepo. Waandishi walipokwenda kumhoji wanadai alienda kuwapokea lakini ghafla akazimia na kuzinduka baadaye kuendelea na mahojiano. Wazazi wake wanadaiwa kukiri kwamba kuna mazingira ambayo binti yao anazimia ili apate majibu na kisha uliza swali lolote anakujibu.
Wao! Tutaipata mwaka huu! Labda huyo atakubalika kwa Haji Mponda na wenzake wasiomkubali Babu, maana yeye anaswali sana Subira.