Statics
JF-Expert Member
- Dec 29, 2017
- 412
- 1,050
Mimi sina fangasi mkuu.... Mm sio mtoa mada... UmechanganyaKiwango cha "Viua fangasi" kilichomo ndani yake, hakitoshi kukusaidia wewe mwenye Fangasi sugu.
Na fangasi wako saizi kwa usugu huo watakua tayari wameshaingia damuni.
Ivo sio tu upate dawa ya kupakaa, bali upate na za kunywa kama nilivyokuelezea.
Mm nilitoa comment kwa kuuliza swali tu ..