Nakumbuka walisema maajabu 7 yatakayo leta mapinduzi kwenye mziki wa bongo flevaLakini kiba kasaini mkataba wa maajabu 7 naamini hautakuwa Kama wa davido!!
Kweli unampenda kibakuli,hadi na wewe umeandika SENTENSI NDEFU HIVI.Lakini kiba kasaini mkataba wa maajabu 7 naamini hautakuwa Kama wa davido!!